Achana nao hao, wanahangaika bure. Naona benchi ya Warriors inavyojitutumua hapa...Mavericks wanayanywa!GSW ni kama maji...
Usipoyanywa,basi ni lazima utayaoga..!
Cavs wamepoteza,OKC wamepoteza...
Watu wako kimya...
Akipoteza GSW,kuna watu utashangaa hata walipotokea...
Me nahisi hawa Anti-GSW wameacha kuangalia games za timu zao,kilichobaki wanaangalia games za GSW tu..!
That's why timu zao zikifungwa HAWATAMBUI..!
Go Steph...
Go Warriors..!
GSW kama Man U tuGSW ni kama maji...
Usipoyanywa,basi ni lazima utayaoga..!
Cavs wamepoteza,OKC wamepoteza...
Watu wako kimya...
Akipoteza GSW,kuna watu utashangaa hata walipotokea...
Me nahisi hawa Anti-GSW wameacha kuangalia games za timu zao,kilichobaki wanaangalia games za GSW tu..!
That's why timu zao zikifungwa HAWATAMBUI..!
Go Steph...
Go Warriors..!
Mkuu...
Mashabiki wa GSW wako SMART sana...
Pamoja na Cavs kula kichapo,naona wamekaa KIMYA...
Wako busy na GSW yao tu...
Jambo ambalo hauwezi kuliona GSW ikipigwa..!
Wazoee tu,wapo wenye constructive criticism na wapo matrollers...hakuna namna ya kuwazuia...GSW ni kama maji...
Usipoyanywa,basi ni lazima utayaoga..!
Cavs wamepoteza,OKC wamepoteza...
Watu wako kimya...
Akipoteza GSW,kuna watu utashangaa hata walipotokea...
Me nahisi hawa Anti-GSW wameacha kuangalia games za timu zao,kilichobaki wanaangalia games za GSW tu..!
That's why timu zao zikifungwa HAWATAMBUI..!
Go Steph...
Go Warriors..!
teh teh teh kuna mmoja naona anahangaika kweli kweli hapa..Bora tuwe inconsistent ili trollers wapate cha kusema...😀😀😀...
La sivyo tunaweza tusiwaone msimu mzima humu...
teh teh teh mkuu jamaa kauliza swali zuri tu, mbona updates za Cavs hatuzionagi humu??Wanajua nini Cavs aliwafanya (3-1) kwenye finals, usione wako kimya ukadhani eti ni usmart, hawataki kuisikia Cavs popote pale ilipo.
teh teh teh mkuu jamaa kauliza swali zuri tu, mbona updates za Cavs hatuzionagi humu??
C'oooon mpaka hizo nazo tulete sisi??
Eti eenhe..!?GSW imekuwa mbovu balaaa....
msimu uliopita ulikuwa nguvu ya soda tu...sasa hivi hakuna kitu pale wanaruka ruka tu uwanjaniEti eenhe..!?
msimu uliopita ulikuwa nguvu ya soda tu...sasa hivi hakuna kitu pale wanaruka ruka tu uwanjani
wamekuwa Honored mapema kabla kichaa hajapewa rungu.......
cc:Raimundo