Ha ha haa Raimundo, nakutakia kila la heri.Afadhali hata hivyo unapata timu za kukusaidia kutufunga, maana najua ninyi hamwezi kutufunga!
Wazee wa kupoteza 3-1, hivi X-Mass tuliwachakaza, tar 16 tunakuja tena kuwachakaza.
Ha ha haa Raimundo, nakutakia kila la heri.
Kumbukumbu, kumbukumbu...
kwenye uwanja wa Quicken Loans Arena, Cleveland
Hiyo ilikuwa ni mwaka jana...January 18, 2016
Hapana, najikumbusha tu yaliyotokea mwezi Januari mwaka jana 2016 na tunayotarajia mwezi kama huo huo wa Januari 2017! Sina nia mbaya ndugu yangu!Dah mkuu hizi kumbukumbu zako ni za ajabu sana, yaani unachagua za zamaaaani!
Hebu tuangalie za hivi karibuni:-
View attachment 459322
Hapana, najikumbusha tu yaliyotokea mwezi Januari mwaka jana 2016 na tunayotarajia mwezi kama huo huo wa Januari 2017! Sina nia mbaya ndugu yangu!
Bingwa anapigwa back to back...
Kila siku ni excuse baada ya excuse...hivi jana CAVs ilipopigwa 102-86, nitajie hao ambao hawakucheza! Yaani defending champions hata wakifungwa, kwa msocial ni non-issue ila Warriors wakifungwa eti ni newsworthy! Rekodi ya CAVS nyumbani ni 18-3 lakini ugenini ni 10-7...aibu kubwa kwa timu bingwa!
Yale yaleee...! Utetezi usio na kichwa wala miguu. Jana Trail Blazers kawahenyesha na badala ya kukubali kama alivyofanya Raimundo, wewe unaleta sababu maandaziπ΅ Hebu angalia hapa...!
Pamoja na kukabwa na King na subjects wake watiifu wawili, McCollum anazidi kutungua tu! Bahati yenu Lilard jana kapoa la sivyo kipigo kingekuwa cha hatari. Acheni visingizioπ±π±π±!
Juzi hapa mmejitetea, oh subirini J. R. Smith arudi ha hahaaa, jana karudi akakuta anachezeshwa sindimba, angalieni hapa...!
Ndio maana nikasema wengi hamuelewi kuwa Cavs are not very interested in regular season, LeBron amecheza games nyingi sana throughout his career ( amecheza dakika nyingi sana kuliko wachezaji wote ambao ni active kwa sababu kila mwaka amecheza playoffs na miaka 6 iliyopita amafingia fainali mfululizo, hiyo inakuchosha sana physically and mentally), anaelewa kitu gani haswa kinahitajika ili team yake iwe katika good position ya kushinda ubingwa, Cavs hata wakifungwa vipi bado kule East watakua either #1 or #2 seed wakati wa playoffs so kufungwa regular season kwao sio issue kama unavyofikiria.
They are just interested in being healthy wakati wa playoffs, hawana muda wa kuweka jitihada zote kwenye hizi games halafu ikifika playoffs wawe wamechoka au injured, Point ni kwamba, hawako makini sana during regular season, Unadhani Cavs wakiamua Blazers watawafunga? Records za regular season waachieni GSW. Kule west ukifungwa game 2 mfululizo Spurs wanakua #1 au Rockets.
Mkuu wanajifanya hawaeilewi cavs hebu waache tu kama walivyo, wamesahau hata mwaka juzi walivyochukua ubingwa CAVS hawakuwa na regular season nzuri lakin mwisho wa siku ndio wakaja kuwasumbua fainali.Ndio maana nikasema wengi hamuelewi kuwa Cavs are not very interested in regular season, LeBron amecheza games nyingi sana throughout his career ( amecheza dakika nyingi sana kuliko wachezaji wote ambao ni active kwa sababu kila mwaka amecheza playoffs na miaka 6 iliyopita amafingia fainali mfululizo, hiyo inakuchosha sana physically and mentally), anaelewa kitu gani haswa kinahitajika ili team yake iwe katika good position ya kushinda ubingwa, Cavs hata wakifungwa vipi bado kule East watakua either #1 or #2 seed wakati wa playoffs so kufungwa regular season kwao sio issue kama unavyofikiria.
They are just interested in being healthy wakati wa playoffs, hawana muda wa kuweka jitihada zote kwenye hizi games halafu ikifika playoffs wawe wamechoka au injured, Point ni kwamba, hawako makini sana during regular season, Unadhani Cavs wakiamua Blazers watawafunga? Records za regular season waachieni GSW. Kule west ukifungwa game 2 mfululizo Spurs wanakua #1 au Rockets.
Sasa mkuu hiyo 16th ni playoff?Mkuu wanajifanya hawaeilewi cavs hebu waache tu kama walivyo, wamesahau hata mwaka juzi walivyochukua ubingwa CAVS hawakuwa na regular season nzuri lakin mwisho wa siku ndio wakaja kuwasumbua fainali.
As for this moment let em gloating over this loss as much as they can, but 16th is almost here, just wait to see them bemoaning here over refs decisions
Namaanisha hiyo tarehe 16 pale oracle arena CAVS wataacha msiba na mashabiki wa warriors tutawaona wakilia lia kama kawaida yao, kwa maana hamnaga excuse nyingine zaidi ya kuwalilia marefa.Sasa mkuu hiyo 16th ni playoff?
Huu ni utetezi vitumbua unaoweza kutolewa tu na shabiki maandaziπππ!Ndio maana nikasema wengi hamuelewi kuwa Cavs are not very interested in regular season
Usiwe na wasiwasi leo ni tarehe 13, kaza moyo uwanja wa Oracle uko Bay Area, Oakland, CA karibu na Silicon Valley infotech Center ya dunia! Kama utachungulia kwa makini utaniona uwanjani...karibu sana.Namaanisha hiyo tarehe 16 pale oracle arena CAVS wataacha msiba na mashabiki wa warriors tutawaona wakilia lia kama kawaida yao, kwa maana hamnaga excuse nyingine zaidi ya kuwalilia marefa.
Call it whatever you want, that's the reality, Cavs couldn't care less about losing on Monday because they know, their main aim is to be ready & healthy, come playoffs, that's when things matter to them.Huu ni utetezi vitumbua unaoweza kutolewa tu na shabiki maandaziπππ!
Call it whatever you want, that's the reality, Cavs couldn't care less about losing on Monday because they know, their main aim is to be ready & healthy, come playoffs, that's when things matter to them.
Achana na huyo, akitakiwa kutoa ushahidi wa madai yake kwamba CAVS couldn't care less about losing on Monday because they know, their main aim is to be ready & healthy, come playoffs. Sijui hii aliipata wapi na aliongea na nani...ndio maana nikasema ni utetezi maandazi. Eti Warriors only care about setting records, my foot! Hapa ni ulimbukeni tu unasumbua.Cavs wamecheza Playoffs ngapi? Na wama Rings ngapi?
LeBron amecheza finals 6 mfululizo, na ameshinda 3 rings, so he knows what a team needs to have the best chance to be champions, and he's the leader of that team, anajua regular season unatakiwa ushinde games za kutosha ili uweze kuingia playoffs, pia playoffs za conference(East) inatakiwa mechi nyingi uwe na home court advantage ili mcheze mechi chache kabla ya kwenda finals maana mkiwa hamna home court advantage throughout playoffs mtacheza games nyingi kuliko inavyotakiwa maana kushinda ugenini ni shida, pia mtasafiri sana kitu ambacho kinachosha, na pia kama kuna kuna wachezaji wameumia mkiwa na homecourt advantage wanapata muda wa kupona kabla ya finals.Cavs wamecheza Playoffs ngapi? Na wama Rings ngapi?
You don't have to curse people out to make your point, state your points, nobody is interested in your drivel.Achana na huyo, akitakiwa kutoa ushahidi wa madai yake kwamba CAVS couldn't care less about losing on Monday because they know, their main aim is to be ready & healthy, come playoffs. Sijui hii aliipata wapi na aliongea na nani...ndio maana nikasema ni utetezi maandazi. Eti Warriors only care about setting records, my foot! Hapa ni ulimbukeni tu unasumbua.
Hivi kati ya nyie warriors na cavs ni akina nani wanaongoza kwa kutoa excuse za kipuuzi pale mmoja anapopata matokeo ya kutoridhisha?Cavs wameshakua watu wa excuse Jumatatu wakifungwa watasema hawajali wanasubiri playoff ila wakishinda watatroll mpaka basi
Just keep calm and wait, less than 48 hrs remainedAchana na huyo, akitakiwa kutoa ushahidi wa madai yake kwamba CAVS couldn't care less about losing on Monday because they know, their main aim is to be ready & healthy, come playoffs. Sijui hii aliipata wapi na aliongea na nani...ndio maana nikasema ni utetezi maandazi. Eti Warriors only care about setting records, my foot! Hapa ni ulimbukeni tu unasumbua.
Okay point noted. Now tell us how you learnt that CAVS couldn't care less about losing on Monday because they know, their main aim is to be ready & healthy, come playoffs. Do you even know why regular season games matter so much?You don't have to curse people out to make your point, state your points, nobody is interested in your drivel.