George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Hapana...Durant anamfunika Curry?
Nachoona mimi ni kwamba kila mtu anajaribu kuifanya kazi yake kadiri ya uwezo wake..!
Curry anaifanya kazi yake vizuri...
Durant anaifanya kazi yake vizuri haswaaaaa..!