William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Fair game hii ni zamu ya Kobe hands down kwa champions Lakers!, sasa tusubiri dogo Hasheem atatinga wapi?
Respect.
FMEs!
Respect.
FMEs!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ab-Tichaz,FMES,Nyani Ngabu,Yoyo,YE,...
..tangu Lebron atolewe basi Bubu-Ataka-Kusema naye ametususa.
..game ilikuwa nzuri kwa kweli. down to the wire!!
..nadhani Magic walifikiri wameshinda game na hicho ndicho kilichowaponza.
..Van Gundy naye anajutia maelekezo yake kwamba Magics wasi-foul kwenye ile sequence iliyopelekea Fisher kuchoma 3 pts.
..siwezi kusema Lakers ni mabingwa mpaka nione wamebeba trophy. kuna mwaka walikuwa up 3 -- 1 wakaja kushindwa na Phoenix Suns.
Hata Obama alitabiri hivyoIt's over haters....Lakers in 6, yeah, i said it!
Mazee leo series inakuwa concluded ..??
Orlando wakifanya mchezo, ngoma inakatika leo.
Orlando wakifanya mchezo, ngoma inakatika leo.
Leo Lakers lazima wamalize.
49 - 40 Lakers wako juu!!!
who are you rooting for?[/QUOTE
I'm the one who knows Lakers.