NBA Playoffs

NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
kp0436.JPG
 
Game 7 kati ya Lakers na Houston ndiyo inaanza. Lakers wana nafasi nzuri kwa kuwa wapo nyumbani, lakini chochote kinaweza kutokea. Enjoy the game.
 
Game 7 kati ya Lakers na Houston ndiyo inaanza. Lakers wana nafasi nzuri kwa kuwa wapo nyumbani, lakini chochote kinaweza kutokea. Enjoy the game.


Hey BAK, naicheck game, 2nd qt Lakers 24 Hou 13.......yeah Lakers wana chance kubwa!
 
Hey BAK, naicheck game, 2nd qt Lakers 24 Hou 13.......yeah Lakers wana chance kubwa!

Naona game imekwisha hata kabla ya half time. With 3 minutes to go before half time, Lakers are leading 43-26. Labda game ya Celtics na Orlando baadaye leo itakuwa na ushindani zaidi.
 
Naona game imekwisha hata kabla ya half time. With 3 minutes to go before half time, Lakers are leading 43-26. Labda game ya Celtics na Orlando baadaye leo itakuwa na ushindani zaidi.
Its not over yet, anything can happen.
 
Its not over yet, anything can happen.

Do you think so Lusajo? Right now, Lakers are leading by 20 points (51-31) and they are at home. Houston are missing so many easy shots. In my opinion this game is over, but you may be right let's wait and see.
 
Do you think so Lusajo? Right now, Lakers are leading by 20 points (51-31) and they are at home. Houston are missing so many easy shots. In my opinion this game is over, but you may be right let's wait and see.
Kwa game waliyocheza Rockets by now Lakers ilibidi wawe wana lead 30+ points. Aynways I still believe, siwezi kufa moyo, hata kama wakishindwa sio mbaya.
 
- Hii game ni aibu sana, ina maana moja tu kwamba toka mwanzo, Lakers walikuwa interested in making money kwa kufikisha game 7 na sio ushindani maana haukuwepo na haupo kabisaa, aibuu kwa NBA kama wanahusika na kupanga hizi match, nimeusubiri huu mchezo wka hamu kubwa na kuja kupata hii disappointment, inaudhi kweli!.

FMEs!
 
Kwa game waliyocheza Rockets by now Lakers ilibidi wawe wana lead 30+ points. Aynways I still believe, siwezi kufa moyo, hata kama wakishindwa sio mbaya.

Ni kweli kabisa Lakers walistahili kuwa mbele kwa more than 40 points. Houston wamejitahidi kadri ya uwezo wao ukitilia maanani wafungaji wao wazuri Yao Ming na Mcgrady ni majeruhi na pia rebounder wao mzuri sana Mutumbo wa matombo naye pia ameumia. Lakers watakuwa na wakati mgumu sana katika series yao na Denver maana Denver sasa hivi wanacheza vizuri sana.
 
On Sunday they are going to be the Rickets...

Ni kweli kabisa Lakers walistahili kuwa mbele kwa more than 40 points. Houston wamejitahidi kadri ya uwezo wao ukitilia maanani wafungaji wao wazuri Yao Ming na Mcgrady ni majeruhi na pia rebounder wao mzuri sana Mutumbo wa matombo naye pia ameumia. Lakers watakuwa na wakati mgumu sana katika series yao na Denver maana Denver sasa hivi wanacheza vizuri sana.

Rafiki yangu Rufiji sijui yuko salama au labda homa imempanda....poleni sana wapenzi wa Houston RICKETS...

Sasa bring on Melo...
 
Last edited:
- Vipi lakini mwanzoni nilifikiri itakuwa a piece of cake kwa Magic mpaka alipoingia Ray Allen naona amekuwa the X factor kwa Boston kurudi kwenye game, au?

Oh yeah..so far Ray amekuwa x factor...na smell comeback kama ile ya game 5
 
...ina maana moja tu kwamba toka mwanzo, Lakers walikuwa interested in making money kwa kufikisha game 7 na sio ushindani maana haukuwepo na haupo kabisaa, aibuu kwa NBA kama wanahusika na kupanga hizi match, nimeusubiri huu mchezo wka hamu kubwa na kuja kupata hii disappointment, inaudhi kweli!

Game ya 7 kawaida ina hatari kwenda upande wowote hivyo hamna anaeweza ku risk game 7 kwa kujifungisha game 6 eti apate mapato ya game moja zaidi. Pamekuwa Bongo? Sio kwenye high stake conference semi-finals.

Rockets wako depleted toka mwanzo kwa kuwa McGrady na Ming ni banged up going up against the deepest and most talented side in the West. Ni wachache sana mlio chezea kamali Rockets na kuishia kulia-lia hivyo.
 
McGrady na Ming ni banged up going up against the deepest and most talented side in the West.

Nuuu uuuh...Lakers..."the deepest and most talented in the West"...Naah...I disagree! Denver wamekamilika na si timu ya mtu mmoja kama ilivyo LA.
 
Ahahahahahahaha...Celtics kwishnee...hakuna cha comeback wala nini. They should kiss the game goodbye...
 
Nuuu uuuh...Lakers..."the deepest and most talented in the West"...Naah...I disagree! Denver wamekamilika na si timu ya mtu mmoja kama ilivyo LA.

- Naenda kulala no way Boston sasa wanaweza ku-comeback it is over, I mean from 38-45 to 77-67? I am out! Ninasubiri Nuggets Vs Lakers ohhh hapatatosha hapa!

- Lebron atawapita hawa Magic bila taabu hawawezi running game ya Ohio.

FMEs!

 
He who laughs last!! Lakers wameshinda gainst all odds.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom