NBA Playoffs

NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
FMES kuna ile game ulisema ulishaenda kulala ukijuwa Magic wameshinda na ukajakushangazwa eti kwanini LB alibeat the buzzer...Ulinishangaza sana kama wewe ni mpenzi wa basketball eti ulienda kulala wakati game diffrence ni only a point na bado kuna seconds za kuplay,hata soka yenyewe si hivyo ni hadi kipenga cha mwisho..Kama wewe si mshabiki wa LB simamia pointi yako si uwe kigeu geu.

- Mkuu kwa kawaida huku kwenye michezo huwa haturuhusu vurugu na ligi zisizokwua na elimu, kwa hiyo samahani wrong number tafuta pengine,

- Pia huku huwa tunajadili kistaarabu sana, kwa hiyo pole sana mkuu tafuta pengine au mwingine!

Respect.

FMES!
 
Nadhani ni baadhi ya plays anazozi make pamoja na style yake ya uchezaji ndio maana wanamfananisha na baadhi ya hao ma superstar,si kwasababu ya accomplishments,hilo liko wazi.


i get ya point of view but de p z, they don compare him na hao kina jordan na kobe kivyo they compare him kusema is better even than them whic is very wrong n not even close 2 ukweli

another problem ni kuwa ana kimeta na kupendwa na medi dats it..cz even angalia hizi series za fainali toka zianze kobe has been scorin so many points tena za muhimu n lead his team very well til nw wanalead 2 - 1 but luk at wat wanakipa umuhimu til now...ni ile shot ya kubeat de buzzer aliyowachoma orlando even though wao now ndo wako down.

if u don bliv ma words kaangalie website ya nba...they r even askin u to compare his shot na ERA za kina jordan
 
- Lebron kumbe ni mtupu phew! Vipi leo wazee wa tattoos na Kobe? Nawafagilia the tattoos kama kawa!

FMEs!


hawa nuggets ni wazuri ila shida nadhan sijui ndo uzoefu wa playoffs hawana,cz hata wakiwa wana lead vipi towards the end lakers hujaga wapumulia kooni n when wakishindwa take it ndo huishia kuluz de game ka walivyopoteza game 3..

lets hope leo watakuja na kiwango kyema watie de serie b4 kurud staples center wakafungwe.

jinsi hizi fainali zilivyo nzuri nawish ziishe kwa timu kuwin 4 - 3 yaan tuone game zote 7
 
Get ya popcorn ready, it's gonna be a crazy nite.
The black Mamba is running the show!
 
Hawa Lakers na Nuggent wataenda hadi game 7
 
aaah hii game ya orlando na cavs mbona ipo muda mbaya?
 
- Vipi wakulu leo Lebron anaweza kumpita Tokoglu? Mimi sasa siamini tena kama jamaa anao uwezo , kumbe zile timu za mwanzoni kama Detroit zilikuwa ni mbofu mbofu, kijana bado anahitaji msasa zaidi, au?

Respect.

FMES!
 
- Vipi wakulu leo Lebron anaweza kumpita Tokoglu? Mimi sasa siamini tena kama jamaa anao uwezo , kumbe zile timu za mwanzoni kama Detroit zilikuwa ni mbofu mbofu, kijana bado anahitaji msasa zaidi, au?

Respect.

FMES!
Siwezi kum-count out yet kwa sababu ma-star wanakuwaga na bad game day. Nadhani ulimuona Carmelo jana. Kwa hiyo LBJ anaweza na yeye akafanya mambo. Nadhani unaona na Kobe huwa anachemsha game zingine. Lets wait and see tonight.
 
ngoma ya leo ishaanza na Dwight Howard ameanza hatari za ma-dunk!
 
kazi ipo.......magic nawaaminia na michomo ya 3 points......

Yo Yo Tell 'em wewe unashabikia timu gani? mie nataka hawa southerners wapite maana LBJ naye ana misifia kama ya KB.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom