NBA Season 2014/2015

NBA Season 2014/2015

IT CAN BE A MOTIVATIONAL TOOL AS WELL...IT COULD GO EITHER WAY...
NDIO HIVYO TENA,The NBA Accredited Media MEMBERS wamemchagua ''The Spurs` Future Face of the Franchise''.Hata hivyo it was a close race....Kahwi amepata 37 first place votes,D.G KAPATA 45 FIRST PLACE VOTES....But in totality Kawhi had more points than DG.

Hii tuzo inawaongezea presha Spurs kumpa dogo max contract, maana jamaa ni bahili kutoa hela.
 
Coach wa GSW last game alisema (najaribu kuweka maneni yake vizuri) kwamba team yake ni team ambayo at times inacheza very explosively na kuna times wanacheza mediocre flow (kuna neno alitumia hapa). So hawa jamaa sio tu contenders ni a team to beat (na sio tu kui'beat single game, sweep them kama utaweza of which I see as stuff of imagination)
 
nimefarijika sana,nimefurahi sana......i love the facts that they keep on proving to all the doubters...

Wacha wahuni waendelee kuwapa kichwa hao Spurs..

Eti defending Champs hahahahaha
Raimundo vipi bado hujaukubali mziki??
 
Last edited by a moderator:
the third largest 4th quarter comeback in NBA History......awesome fact...

hahahahahaha utaambiwa Pelicans wabovu
BAK ngoja nicheke kiasinali khe khe kheeeeeee

Namsubiri huyo Spurs mnayemtegemea..

Baadae mtaamia kwa Cavs..
 
Last edited by a moderator:
What amazed me the most is that they never seem down or yell at each other when they were down by 20. Confidence!! And they kept playing as if they were leading, no pressure

Coach wa GSW last game alisema (najaribu kuweka maneni yake vizuri) kwamba team yake ni team ambayo at times inacheza very explosively na kuna times wanacheza mediocre flow (kuna neno alitumia hapa). So hawa jamaa sio tu contenders ni a team to beat (na sio tu kui'beat single game, sweep them kama utaweza of which I see as stuff of imagination)
 
Wacha wahuni waendelee kuwapa kichwa hao Spurs..

Eti defending Champs hahahahaha
Raimundo vipi bado hujaukubali mziki??

This is just the first round, team mnayocheza nayo ni ngeni playoff ndiyo maana wanaweza kublow up 20 points in just one quarter!

Mnaenda kukutana na Memphis next round, huu ndo utakuwa mwanzo wa kipimo chenu kwenye kuelekea ubingwa.
 
Memphis nae atakufa tu..

Tuendelee kusubiri..

This is just the first round, team mnayocheza nayo ni ngeni playoff ndiyo maana wanaweza kublow up 20 points in just one quarter!

Mnaenda kukutana na Memphis next round, huu ndo utakuwa mwanzo wa kipimo chenu kwenye kuelekea ubingwa.
 
There goes the Chef
 

Attachments

  • 1429865194366.jpg
    1429865194366.jpg
    78.1 KB · Views: 22
Curry's 40pts, 9 assists, and the triple to force OT (NBA's IG A/c)
 
This alone (though among many other GSW facts) prove that, against all odds, GSW is a realest contender:-

Golden State coach Steve Kerr called the comeback miraculous, and at least one statistic provided by the Warriors backed him up.

Since the NBA instituted the shot clock, Golden State had been down 20 to start a fourth quarter 358 previous times -- and won none of those games.
 
To me it's more like New Orleans lost the game than GSW won it.

Y'all are being prisoners of last night's moment.

It's still a long ways to go so slow your roll.
 
Coming from a 20pts 4th quarter deficit in a road game like that, is a win my friend! A win is a win even if it's going to be counted by all the haters as some kind of a Phyric victory!
 
Coming from a 20pts 4th quarter deficit in a road game like that, is a win my friend! A win is a win even if it's going to be counted by all the haters as some kind of a Phyric victory!

Not to be a grammar snob but do you know what a 'Pyrrhic victory' is?
 
I know it, bru!. Maybe I might have been wrong to use it as an allegory!. But a win is a win, let's stop there!
 
I know it, bru!. Maybe I might have been wrong to use it as an allegory!. But a win is a win, let's stop there!

That's right, a win is a win and that last night can never be described as a Pyrrhic victory.
 
Hahahahahaha lol! Eti unacheka kiasenali khe khe kheeeeeeeee 🙂🙂, miye tuko kambi moja banaa lakini pamoja na hayo napenda kuona competition ya hali ya juu. Pelicans si waboivu vinginevyo wasingekaribia kusteal game 2 in GSW's court. Spurs siwapendi hata kidogo ila siwezi kuukana ukweli uliopo of the abilities to win at home and away plus their experience.

hahahahahaha utaambiwa Pelicans wabovu
BAK ngoja nicheke kiasinali khe khe kheeeeeee

Namsubiri huyo Spurs mnayemtegemea..

Baadae mtaamia kwa Cavs..
 
Back
Top Bottom