NBA Season 2014/2015

NBA Season 2014/2015

11356822_1086238354737408_460794188_n.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Now it's LeBron vs. Curry.

King James vs. the Baby-Faced Assassin.
The four-time NBA MVP vs. the newly crowned MVP.

Coming into the playoffs

CAVS: 1st Central

Wins/Losses: 53 - 29
Home Record: 31 - 10
Away Record: 22 - 19

GSW: 1st Pacific

Wins/Losses: 67-15
Home Record: 39 - 2
Away Record: 28 -13

Looks like these results don't matter any more!



 
Minnesotta Timberwolves deserves a playoff share for this post season run for drafting two point guards in the 2009 draft before the warriors picked curry. Thanks Minnesota.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
minnesotta timberwolves deserves a playoff share for this post season run for drafting two point guards in the 2009 draft before the warriors picked curry. Thanks minnesota.

huyu mtoto ni hatari...anarusha 3s as if ni free throws!!!! Na ball handling yake sasa!
 
Steph Curry

Ushabiki ni pamoja na kutengeneza hype ya mchezo, hata kama unaujua ubora wa adui huwezi kudeclare kwenye public kwamba atanifunga.

Lazima ujipe morali kwa kuuambia uma kwamba utamshinda adui tena ushindi mkubwa. Na kwenye Sports criticism is part of the game. Mfano James ana ring 2 lakini bado watu wana zi-discredit kwa kudai bila Wade na Bosh asingezipata, alifata rings Miami etc, so ni kawaida.

Narudia tena kusema Cavs atamshinda GSW. Hata kama GSW atashinda game 1, bado game 2 kina James watashinda.

hahahahaha sijadeclare 100% kwamba tutafungwa na Cavs.. ila nimewafavor Cavs na nimeweka tu wazi kwamba tusitegemee ushindi mwepesi kama ule wa kwenye conference finals kwa timu zote.. hata game 2 Cavs wakishinda, GSW is also way better on road, so nae anaweza akashinda kwa Cavs pia.
 
Goti alilotandikwa usoni lilikuwa si la kawaida, ila baba yake jana alidai he is okay and ready to dance with CAVS.

KT ni kama alikua anatoka damu masikioni.....any updates ballers?
 
Goti alilotandikwa usoni lilikuwa si la kawaida, ila baba yake jana alidai he is okay and ready to dance with CAVS.

dah,injury zingine bana.alivyovunjika PG mi sikuwahi ingia layup tena,hata peke yangu tu nikiwa narusha rusha.it took me time na ndio nikajua kumbe nimekua!uoga ni ishara ya akili kukua sometimes...
All the best to KT...Naitamani Alhamisi ifike mapema
 
  • Thanks
Reactions: BAK
KT ni kama alikua anatoka damu masikioni.....any updates ballers?

He is okay.. Hata MoBuckets anaweza akarudi on finals

Goti alilotandikwa usoni lilikuwa si la kawaida, ila baba yake jana alidai he is okay and ready to dance with CAVS.

Klay Thompson diagnosed with concussion

Said the Warriors in a statement: "[Thompson] will not return to the court until he is symptom-free and cleared under the NBA's concussion protocol guidelines. He will be evaluated daily and there is no timetable for his return."
CGMd-GiUQAANe5x.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
[h=1]With no Klay, Warriors lean on Curry[/h]Stephen Curry's usage rate with Klay Thompson off the court is 36.4% in the playoffs, compared to 29.3% with Thompson on the court. That would be equal to LeBron James' playoff-high usage rate this season
 
[h=1]Thompson uncertainty looms over Finals[/h]If Klay Thompson has lingering issues relating to his concussion or misses time, it could spell trouble for the Warriors. Only one player has made more 3s this postseason than Thompson, his backcourt mate Stephen Curry
i
 
Back
Top Bottom