....na ndio maana jana nikakuuliza "''you think'' or ''you hope''?''.....................Game inaonyesha kabisa kwamba Toronto washakalishwa [emoji459][emoji459][emoji459]
uko serious bro....?!..Sasa mbona profile pic yako haisadifu unachoongea?...Are you more into OKC or LBJ?..''maombi yangu'' yatategemea jibu lako...ππtruly mniombee walau season hii my OKC tupate RING
Dah jaamaa niombee kwakuwa James ana ring tayariHa ha ha, mkuu kila mtu ana mashabiki wake, tunaanzaje kukuombea ili uzifunge team zetu?
Ila mi nakuombea uwapige GSW ili iwe rahisi kwa King kuchukua ring.
Ahsante sana Mkuu hilo linawezekana kabisa lakini hizi ni playoffs very different from regular season. OKC ya playoffs inaweza kabisa kuwa tofauti na ile ya regular season, nadhani wengi wetu hatukutegemea wawafunge Spurs hasa ukitilia maanani kwamba Spurs walikuwa na home court advantage.
Itakuwa bomba sana wakishinda leo. Hawa GSW washaanza kuwa na kibri cha hali ya juu. Mkuu Mag3 upo? ππ
Mag3 roho ngumu, Steph Curry anatafakari nitoke vipi hapa.
Hii game itakuwa ngumu sana kwa kila upande. Naomba OKC waweze ku-control turnovers kuanzia mwanzo wa mchezo.
Mie pia Mkuu naomba hivyo ili kupunguza kibri cha hawa watu waliodhani wao ni mabingwa tayari nadhani yule Charles Barkley pia yuko upande wetu πππ Mag3 na Steph Curry sijui kama wataandika huku leo labda washinde, vinginevyo wataminya kimya kimya lol!
Mkuu BAK, nipo sana kama simba aliyejeruhiwa. Hivi naomba niulize, yupo jamaa anamwita Curry eti shooter tu, je hapo uwanjani vijana wanafanya nini? Dakika karibu hamsini wanapohangaika uwanjani, wanatafuta nini kama si ku-shoot? Bila ku-shoot kuna kufunga kweli?Itakuwa bomba sana wakishinda leo. Hawa GSW washaanza kuwa na kibri cha hali ya juu. Mkuu Mag3 upo? ππ
Wanaofanya maombi na matambiko kwa sasa ni OKC, hiyo ni jadi yao...watu wa Golden State hawana utamaduni huo. Sana sana game analysis ndiyo inafanyiwa kazi saa hizi kwenye ma-computer...vijana wa Silicone Valley tayari wako kazini na game zinachezwa mezani kabla ya kuingia uwanjani, hiyo ndiyo #Dubnation, strength in numbers.Wanafanya maombi huko waliko na matambiko ya kutosha, maana hili la kufungwa na OKC hawakulitegemea kabisa, nimefurahi kweli confidence waliyo nayo RW na KD.
Bruv ile first half tulidominate sababu ya uwepo wa Bogut... Boggie is good kwenye defense and he is good kwenye offense sababu he is a good passer... Tatizo la Ezeli hawezi kutembeza mpira wala kukamata akiwa kwenye pressure.. Defense pia sio mzuri. Ezeli alisababisha kama turnover 3 au 4 3rd quarter tena ni za kijinga kabisa za kushinda kucontrol au kudaka mpira na wakati huo tulikuwa na lead ya 9, 11, 7... Ndipo OKC wakatumia hizo weakness kupunguza gap mpaka 1... Kwa hii game ya OKC ni vizuri tumtumie Varejao na Bogut tu, Ezeli aingie lead ikiwa kubwa..Without discrediting the Thunders,This Game had more to do with the Warriors losing Than Thunders winning..
It's all about adjustments,..We hope to come better than ever.
Hata nikifungwa na kutofika finals ni sawa tu..Mag3 roho ngumu, Steph Curry anatafakari nitoke vipi hapa.
Hii game itakuwa ngumu sana kwa kila upande. Naomba OKC waweze ku-control turnovers kuanzia mwanzo wa mchezo.
Game ya leo ni ngumu sana.. Kwanza ni game yetu ya kwanza tunaingia na pressure kubwa sana.. Pressure ya tukipoteza huu mchezo basi finals 90% possibility ya kutofika.. Ila mimi sitaangalia kushinda, kuna vitu nataka nivione kama defense ile ya mwaka jana na pia kudhibiti turnovers za kijinga jinga..Mie pia Mkuu naomba hivyo ili kupunguza kibri cha hawa watu waliodhani wao ni mabingwa tayari nadhani yule Charles Barkley pia yuko upande wetu πππ Mag3 na Steph Curry sijui kama wataandika huku leo labda washinde, vinginevyo wataminya kimya kimya lol!
We'll bounce back,...Dominate and Even the Series Fair and Square....Bruv ile first half tulidominate sababu ya uwepo wa Bogut... Boggie is good kwenye defense and he is good kwenye offense sababu he is a good passer... Tatizo la Ezeli hawezi kutembeza mpira wala kukamata akiwa kwenye pressure.. Defense pia sio mzuri. Ezeli alisababisha kama turnover 3 au 4 3rd quarter tena ni za kijinga kabisa za kushinda kucontrol au kudaka mpira na wakati huo tulikuwa na lead ya 9, 11, 7... Ndipo OKC wakatumia hizo weakness kupunguza gap mpaka 1... Kwa hii game ya OKC ni vizuri tumtumie Varejao na Bogut tu, Ezeli aingie lead ikiwa kubwa..
I hope leo tutaimaliza game mapema tu..
Hata nikifungwa na kutofika finals ni sawa tu..
Huo moto wa Cavs sio mchezo kudadekii... Kuliko nikafungwe na LBJ ni bora akina Durant wanipige nisifike huko Finals.. Honestly Play offs zote hizi timu yangu hakuna ilichocheza cha maana mpaka niwe na hope ya kushinda finals. Ila game ya leo na OKC ndio nitasema wazi hapa kama kweli nitaweza pambana na Cavs kwa moto walionao au lah.. Leo nitapima timu yangu kwa vitu kadhaa kama Turnovers, Defense without fouling, Shooting inside the perimeter.. Kama hizi leo nitaona tumeimprove nitakuwa na hopes za kuitoa OKC na kuichapa Cavs kwa mara ya pili..
Mag, Steph, na Tyta hawako wenyewe, nko hapa Warriors' stalwart of a fan. Whatever happens, I'll always stay fan to the Warriors. So count me in.Mag3 roho ngumu, Steph Curry anatafakari nitoke vipi hapa.
Hii game itakuwa ngumu sana kwa kila upande. Naomba OKC waweze ku-control turnovers kuanzia mwanzo wa mchezo.
Kuna kitu hapa nakifikiria mpaka nataka nipate wazimu... Nawaza tu kama Cavs mtamfagia na huyu Toronto itakuwa umeweka record ya kufika finals bila kufungwa hata game moja (ila hapa najua sitawasikia pundits wakibeza kuwa NBA is soft nowadays au hakuna competition ila angefanya hivyo GSW pundits wangeongea kweli kweli)... Lakini sasa Finals mje kukutana na ile Warriors iliyokuwa moto kama kipindi kile katikati mwa msimu mkaja mkafungwa.. East mtadharaulika sana kwa hilo..Cavs East anateleza, maana kwa Toronto gap ni kubwa sana.
GSW itakuwa vita vita.
Na wala hutasikia mechi zao "zinaboa"...Kuna kitu hapa nakifikiria mpaka nataka nipate wazimu... Nawaza tu kama Cavs mtamfagia na huyu Toronto itakuwa umeweka record ya kufika finals bila kufungwa hata game moja (ila hapa najua sitawasikia pundits wakibeza kuwa NBA is soft nowadays au hakuna competition ila angefanya hivyo GSW pundits wangeongea kweli kweli)... Lakini sasa Finals mje kukutana na ile Warriors iliyokuwa moto kama kipindi kile katikati mwa msimu mkaja mkafungwa.. East mtadharaulika sana kwa hilo..