Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
- Thread starter
- #2,301
Nilichokuja kujua ni kumbe Warriors wanachukiwa kwa wanachokifanya ila wakifanya wengine watu hawaongei.. Cavs wanaonyesha kabisa watamfagia na huyu Toronto ila akina watu wako kimyaa hakuna anayekosoa.. Warriors ile run ya 73-9 watu waliongea sana, Curry kupiga 300 three pointers wakachonga lakini jana Lebron na Kyrie wameshoot 23-26 lakini hakuna hata aliyesema NBA iko soft..Na wala hutasikia mechi zao "zinaboa"...
#thehateisreal..
Kuna watu msimu uliopita ndio walikua nambari one wakisema hivyo..Sasa wamefyata hawazungumzii lolote.