NBC Bank Mdhamini mkuu Ligi Kuu Tanzania Bara 2021/2022

NBC Bank Mdhamini mkuu Ligi Kuu Tanzania Bara 2021/2022

sijasema hana vigezo kwa sababu hata hivo sjui vigezo vyao my point nilitegemea bank zenye ushawishi NBC haina hata matawi meng compare na others Banks
Kumbuka hao nbc wanakadi za viza so wateja wao wanaweza kutoa mahala popote pale,halafu ukisikia maana ya udhamini hapo itawabidi izo timu zote zinazoshiriki,na wachezaji wao wafungue akaunt hapo nbc so biashara zao zitapanuka na hata uongezwaji wa matawi pia utafanyika
 
Mkuu Kasomi hilo mbona limeisha kwenye kikao cha jana jioni kati ya Bodi ya ligi, TFF na viongozi wa Yanga

Twiga hana namna inabidi awe Mweusi, na mlima Kilimanjaro utakuwa na rangi ya kijani

Hatuwezi kuvunja misingi ya klabu iliyowekwa na waasisi wake na lengo lilikuwa kupatikana kwa uhuru wa nchi tulionao leo hii
 
Mkuu Kasomi hilo mbona limeisha kwenye kikao cha jana jioni kati ya Bodi ya ligi, TFF na viongozi wa Yanga

Twiga hana namna inabidi awe Mweusi, na mlima Kilimanjaro utakuwa na rangi ya kijani

Hatuwezi kuvunja misingi ya klabu iliyowekwa na waasisi wake na lengo lilikuwa kupatikana kwa uhuru wa nchi tulionao leo hii
Lakini ngoja tusubiri maana mda huu ndio uzinduzi wa logo rasmi
 
Benki Kuu ya biashara National Bank of Commerce (NBC) ndio imeshinda kuwa Mdhamini mkuu wa ligi msimu wa 2021/2021.

Je, walio kataa kuvaa jezi zenye Nembo nyekundu watafanya nini?
waulize vodacom, mbona ile logo yao ni nyekundu lakini kwa yanga ilikua nyeusi?
au hata TBL kupitia bia ya kilimanjaro.

Yanga haitakaa ivae kitu chenye rangi nyekundu hata siku moja, same apply to Simba kuvaa njano/kijani.

watatulizwa tu na hela zao.
 
Benki Kuu ya biashara National Bank of Commerce (NBC) ndio imeshinda kuwa Mdhamini mkuu wa ligi msimu wa 2021/2021.

Ligi hiyo itaitwa NBC Tanzania premier league ambapo NBC wameweka mkwanja wa Shilingi za kitanzania Billion mbili (Tsh.2bill)

Je, walio kataa kuvaa jezi zenye Nembo nyekundu watafanya nini?
Swali ambalo unatakiwa kujiuliza ni mwakani team inayomilikiwa na bank ya DTB inapanda ligu kuu,

Je ITATAITANGAZA NBC kwenye jezi zao???
 
waulize vodacom, mbona ile logo yao ni nyekundu lakini kwa yanga ilikua nyeusi?
au hata TBL kupitia bia ya kilimanjaro.

Yanga haitakaa ivae kitu chenye rangi nyekundu hata siku moja, same apply to Simba kuvaa njano/kijani.

watatulizwa tu na hela zao.
Mbona simba huvaa logo za CAF zenye njano na kijani
 
Swali ambalo unatakiwa kujiuliza ni mwakani team inayomilikiwa na bank ya DTB inapanda ligu kuu,

Je ITATAITANGAZA NBC kwenye jezi zao???
Itabidi itangaze
 
Lakini ngoja tusubiri maana mda huu ndio uzinduzi wa logo rasmi
Mkuu hilo halihitaji four figure au kamusi ili uelewe, hata akitambulisha logo yake ina Twiga mwekundu ila Wananchi hilo kwetu halituhusu na Hamuwezi kutangazwa au kujulishwa

Rejea wadhamini wote huko nyuma wa ligi
 
Mkuu hilo halihitaji four figure au kamusi ili uelewe, hata akitambulisha logo yake ina Twiga mwekundu ila Wananchi hilo kwetu halituhusu na Hamuwezi kutangazwa au kujulishwa

Rejea wadhamini wote huko nyuma wa ligi
Ndio maana wadhamini wa nyuma huacha kudhamini sababu rangi ni moja ya Nembo ya kampuni husika hivyo ukibadili inaleta mkanganyiko.
 
J
Hilo swala labda yanga waamue kukubali ila yanga wanayo haki kisheria kukataa.

Fwatilia udhAmini wa Vodacom second time karia alisemaje na nini kilikuja kutokea.

Hili swala sio Tanzania tu lipo sehemu nyingi duniani.
Yanga ni nani kwani....hv ikitokea kila team ikitaka twiga awe rangi ya team yake itakuaje,yeye yanga agome kwa ukubwa gani alionao?
 
J

Yanga ni nani kwani....hv ikitokea kila team ikitaka twiga awe rangi ya team yake itakuaje,yeye yanga agome kwa ukubwa gani alionao?
Akigoma atajidhamini
 
Ndio maana wadhamini wa nyuma huacha kudhamini sababu rangi ni moja ya Nembo ya kampuni husika hivyo ukibadili inaleta mkanganyiko.
Hivi kwa mfano GSM akakengeuka akasema anataka logo hii kwenye jezi itakuaje ?
GSM-Logo.png
 
Ndio maana wadhamini wa nyuma huacha kudhamini sababu rangi ni moja ya Nembo ya kampuni husika hivyo ukibadili inaleta mkanganyiko.
Source ya hii taarifa yako ni ipi?
Unaweza kuithibitisha
 
Back
Top Bottom