Yaani ukiwa na 30,000,000 hakuna haja ya kununua daladala ikuletee hesabu ya 80,000 kwa siku na presha ya matrafiki juu.Haupo serious riba 7℅ kwa
mwezi? Yaani mtu akiweka 30,000,000 baada ya mwezi anapata zaidi ya 2,500,000? Wewe mtu wewe?
Mteja umeelewa somo lao la masoko mpaka umekuwa mwalimu.Habari zenu.
Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.
Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.
nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.
Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.
Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
Pia naona wameboresha vitu vingi piaHawana wateja wengi ndo maana umehudumiwa chapchap
Ni 0.7% jamani nimekoseaYaani ukiwa na 30,000,000 hakuna haja ya kununua daladala ikuletee hesabu ya 80,000 kwa siku na presha ya matrafiki juu.
Ni kupeleka tu CRDB ujikunjie hiyo 2.5 isiyo na presha kabisa.
Hata kama ni uongo ila mtoa mada kazidisha aisee.
One of the best Banks in Tanzania. Mimi nimekuwa customer wao kwa miaka zaidi ya 20 isipokuwa nililazimika kuchomoka juzi juzi baada ya kufanyiwa kitu mbaya sana na wabongo wenzangu kwenye tawi nililokuwepo; kilichopelekea nikapoteza hela nyingi sana.Habari zenu.
Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.
Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.
nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.
Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.
Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
umelipwa mkuu kwa hili tangazo???Habari zenu.
Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.
Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.
nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.
Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.
Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
BancABC wanatoa 1% kwa mwezi na hawana makato hata kidogo. So NBC bado wapo chini kidogoNi 0.7% jamani nimekosea
Pote upo sahihi sahihi ila huduma zao ni mbovu sana,,benki zao unakuta madirisha 5 alafu muhudumu mmoja ni ungese mtupu.Habari zenu.
Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.
Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.
nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.
Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.
Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
hawa jamaa kuna kipindi walifuliaaa sanaa na huduma zikawa za kawaida sanaaa na wateja wakakimbiaaa (mie nkiwemo)... naona hatimaye baada wameanza nyanyukaaa
One of the best Banks in Tanzania. Mimi nimekuwa customer wao kwa miaka zaidi ya 20 isipokuwa nililazimika kuchomoka juzi juzi baada ya kufanyiwa kitu mbaya sana na wabongo wenzangu kwenye tawi nililokuwepo; kilichopelekea nikapoteza hela nyingi sana.
I say it again, NBC is one of the best Banks in Tanzania
Benki zote wahudumu pungufuPote upo sahihi sahihi ila huduma zao ni mbovu sana,,benki zao unakuta madirisha 5 alafu muhudumu mmoja ni ungese mtupu.
Me naona NMB ndo wanahuduma nzuri
Wabongo! Kwani hii benki ni ya wabongo?Ni One of the Best afu wewe ulipotezamo humo hela Mkuu?
How?
Hapana mi mdau tu wa NMB, biashara ndio iliyonipeleka huko na nikapenda sana Huduma zaiumelipwa mkuu kwa hili tangazo???
Ahaaaa kumbe!!!Ndio maaana basi..Nashkuru Kwa kunifumbua kuhusu hiloNimependa uliposema kadi zao zinafanana na ABSA. Ni kweli, kwa sasa ABSA ni sehemu ya wamiliki wakubwa wa hisa za NBC.
Usisahau ABSA chimbuko lake ni Afrika kusini, na yenyewe inamilikiwa na benki ya Barclays ya Uingereza.
Pengine ndio sababu siku za hivi karibuni, angalau kumekuwa na mabadiliko chanya.
Wamerudi mkuu,nadhani wapo kwenye kampuni hiyo au upo uongozi mwinginehawa jamaa kuna kipindi walifuliaaa sanaa na huduma zikawa za kawaida sanaaa na wateja wakakimbiaaa (mie nkiwemo)... naona hatimaye baada wameanza nyanyukaaa
Sijawahi pata customer care kama IleNBC wameajiri Vijana hasa Mabinti Mashalaaaah wanashinda kwenye Maofisi ya Umma na Maeneo ya Biashara kubwa kushawishi wateja kwa weledi wa hali ya juu sana. Wamekuja na market strategy nzuri mnoo.
Hongera sana kwao, hasa Wahudumu wao ambao wengi ni Wasabato kwa muonekano wa Mavazi, Nywele na Aina ya Muziki wao kwenye Pc. Good job