NBC bank ni benki bora Tanzania Kwa sasa

NBC bank ni benki bora Tanzania Kwa sasa

Habari zenu.

Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.

Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.

nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.

Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.

Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
Umesahahu pia ATMs zao unaweza kudeposit pesa mda wowote

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu.

Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.

Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.

nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.

Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.

Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
Hii benki kwakweli hapana wana makato makubwa mfano ukiwa watuma pesa nje kununua kitu, makato yao hatari. Pia hata exchange rate zao uwa ziko chini.
Uwa mimi hadi nahisi hawajalenga watu binafsi
 
Hii benki kwakweli hapana wana makato makubwa mfano ukiwa watuma pesa nje kununua kitu, makato yao hatari. Pia hata exchange rate zao uwa ziko chini.
Uwa mimi hadi nahisi hawajalenga watu binafsi
Mkuu kwa ishu za mtandaoni unatumia bank gani ?
 
Wafanyakazi kaeni mkao wa kuja kupigwa na kitu kizito July mwaka huu baada ya Mama kuupiga mwingi kwenye ongezeko la mishahara [emoji1732][emoji851]
 
One of the best Banks in Tanzania. Mimi nimekuwa customer wao kwa miaka zaidi ya 20 isipokuwa nililazimika kuchomoka juzi juzi baada ya kufanyiwa kitu mbaya sana na wabongo wenzangu kwenye tawi nililokuwepo; kilichopelekea nikapoteza hela nyingi sana.
I say it again, NBC is one of the best Banks in Tanzania
Tuelezee hiyo kasumba iliyokukuta ila na sisi tujifunze kupitia kwako
 
Hii benki kwakweli hapana wana makato makubwa mfano ukiwa watuma pesa nje kununua kitu, makato yao hatari. Pia hata exchange rate zao uwa ziko chini.
Uwa mimi hadi nahisi hawajalenga watu binafsi
Ahaaa kumbe?mi sijawahi kununua kitu nje
 
Hii benki kwakweli hapana wana makato makubwa mfano ukiwa watuma pesa nje kununua kitu, makato yao hatari. Pia hata exchange rate zao uwa ziko chini.
Uwa mimi hadi nahisi hawajalenga watu binafsi
Nadhani sasa hivi wameimprove Ili kuvutia wateja
 
Habari zenu.

Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.

Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.

nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.

Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.

Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
Ndio uzuri wa matangazo bila Ligi kuu Wala usingewajua
 
Haupo serious riba 7℅ kwa

mwezi? Yaani mtu akiweka 30,000,000 baada ya mwezi anapata zaidi ya 2,500,000? Wewe mtu wewe?
Asante Kwa kunisanua nilikua naelekea NBC Sasa hivi nikafungue account niweke 3ml kama mtaji Nile hizo laki 2 zao kila mwezi
 
Habari zenu.

Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.

Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.

nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.

Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.

Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
Duh!!!...
 
Hii benki kwakweli hapana wana makato makubwa mfano ukiwa watuma pesa nje kununua kitu, makato yao hatari. Pia hata exchange rate zao uwa ziko chini.
Uwa mimi hadi nahisi hawajalenga watu binafsi
Wanaizidi CRDB kwa makato? Hii benki mpaka tsh. elfu tano kwenye ATM unatoa...wakati benki nyingine huwezi toa
 
One of the best Banks in Tanzania. Mimi nimekuwa customer wao kwa miaka zaidi ya 20 isipokuwa nililazimika kuchomoka juzi juzi baada ya kufanyiwa kitu mbaya sana na wabongo wenzangu kwenye tawi nililokuwepo; kilichopelekea nikapoteza hela nyingi sana.
I say it again, NBC is one of the best Banks in Tanzania
Ulifanyiwa ni nini?
 
Back
Top Bottom