THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Good morning.
Naona mnaanza kutengeneza attention ya kushindanisha kati ya Diarra na Camara ila ki uhalisia Jana Camara hakustahili kua Man of the Match.
Hivi unampa Man of the Match mtu kapigiwa Shoot Moja la kulenga goli!!!
NBC hamfai kabisa...angefanya save hata 10 sasa si mngempa golikipa wa mwez au wa msimu tayar!
Au mliangalia kigezo kipi because golikipa Hadi anapewa Man of the Match ujue timu hio ilipigiwa sana mashoot ya kulenga goli (on target) na Ali save...Juzi kati si mliona golikipa wa Madrid kwenye Match ya UEFA vs Stuttgart Thibaut alipewa Man of the Match because of the saves ukibisha kaangalie Madrid alipigwa sana mashoot na alisave sana ipo mifano mingi kaangalien.
Kigezo Cha golikipa kupewa Man of the Match ni saves alikutana na mashoot mangapi na aka save...
Angalien Ederson pale Man city Hadi hua anapiga assist ulishakuta anapewa Man of the Match no because most of the games Huwa hapati kashikashi..
Ipo siku mtakuja kuitoa Man Of the Match Kwa Player Alie bench kisa kahamasisha wenzake wakafanya Comeback na wakashinda...Kama anavyofanyaga AZIZ KI.
Good Morning🇵🇹
Naona mnaanza kutengeneza attention ya kushindanisha kati ya Diarra na Camara ila ki uhalisia Jana Camara hakustahili kua Man of the Match.
Hivi unampa Man of the Match mtu kapigiwa Shoot Moja la kulenga goli!!!
NBC hamfai kabisa...angefanya save hata 10 sasa si mngempa golikipa wa mwez au wa msimu tayar!
Au mliangalia kigezo kipi because golikipa Hadi anapewa Man of the Match ujue timu hio ilipigiwa sana mashoot ya kulenga goli (on target) na Ali save...Juzi kati si mliona golikipa wa Madrid kwenye Match ya UEFA vs Stuttgart Thibaut alipewa Man of the Match because of the saves ukibisha kaangalie Madrid alipigwa sana mashoot na alisave sana ipo mifano mingi kaangalien.
Kigezo Cha golikipa kupewa Man of the Match ni saves alikutana na mashoot mangapi na aka save...
Angalien Ederson pale Man city Hadi hua anapiga assist ulishakuta anapewa Man of the Match no because most of the games Huwa hapati kashikashi..
Ipo siku mtakuja kuitoa Man Of the Match Kwa Player Alie bench kisa kahamasisha wenzake wakafanya Comeback na wakashinda...Kama anavyofanyaga AZIZ KI.
Good Morning🇵🇹