Futa hiyo ndoto 😂😂Tutavuna alama 3 gem zote zilizosalia
😁🤣🤣🤣🤣😁😁Mechi ya Sunche na Kapeto...itaaamuliwa na wenyewe kina sunche kama kamati....
Cc Vincenzo Jr
Shida Hili kocha najua litatuwekea Guede pale mbele 🚮Kumi na moya Agustine Okrah Magic
Wewe ndo upandishe Lutindi moja kwa mojaYeyote anayeamini kwamba 🐸🐸 watavuna point 3 kwa Azam, akapimwe akili.