GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Acha Kwanza kuongelea huu Upuuzi wako hebu rekebisha hapo katika muda kwani Wewe umeweka ule ule Ulioukariri wa Saa 2 na Robo wakati Mechi ya leo itaanza Saa 2 na Nusu.View attachment 2937235
Top scorers NpL..MASTER KI anabeba kiatu mchana kweupe na leo anaongeza goli mbili
Acha Kwanza kuongelea huu Upuuzi wako hebu rekebisha hapo katika muda kwani Wewe umeweka ule ule Ulioukariri wa Saa 2 na Robo wakati Mechi ya leo itaanza Saa 2 na Nusu.View attachment 2937251
Goals 48 Yanga na leo tunaongeza matatu jumla hamsini na moya[emoji23][emoji119]
Acha Kwanza kuongelea huu Upuuzi wako hebu rekebisha hapo katika muda kwani Wewe umeweka ule ule Ulioukariri wa Saa 2 na Robo wakati Mechi ya leo itaanza Saa 2 na Nusu.View attachment 2937250
Clean sheet Djigui Diarra anabeba mchana kweupee.
Acha Kwanza kuongelea huu Upuuzi wako hebu rekebisha hapo katika muda kwani Wewe umeweka ule ule Ulioukariri wa Saa 2 na Robo wakati Mechi ya leo itaanza Saa 2 na Nusu.View attachment 2937248
Top assistants NpL..Yao Kouassi Attohoula anabeba mchana kweupee na leo anaongeza moja.
Kataa ila huo ndio ukweliFuta hiyo ndoto 😂😂
Aziza ufunguo leo anapigwa chini na Fei toto, nipo palee 😂Kataa ila huo ndio ukweli
Jidanganye hivyo hivyoAziza ufunguo leo anapigwa chini na Fei toto, nipo palee 😂
Anza weweWewe ndo upandishe Lutindi moja kwa moja
🐸🐸wakivuna alama 3 akii nitakukabidhi kondoo wote bila masharti katibu wangu, sadaka zote zitaingizwa katika acc yako.Jidanganye hivyo hivyo
Sawa mwenyekiti 😂🐸🐸wakivuna alama 3 akii nitakukabidhi kondoo wote bila masharti katibu wangu, sadaka zote zitaingizwa katika acc yako.
Nafunga mjadala.
Nipo hapa hapa katu sikimbii.Sawa mwenyekiti 😂
Baada ya mechi usijeukakimbilia kusikojulikana.
Hii App ni mpaka ulipie vifurushi vya Azam..?Azam max live bila chenga
Sawa mwenyekitiNipo hapa hapa katu sikimbii.
Poa tuwasiliane saa nne baada ya mechi.Sawa mwenyekiti
Sawa nitakuwepo jukwaaniPoa tuwasiliane saa nne baada ya mechi.
Yani hiyo app unaweza ukatizama bila kifurushi na ukatizama na kifurushi.Hii App ni mpaka ulipie vifurushi vya Azam..?
Mwisho wa show utakimbia ni kichupi chako mkononi.Yeyote anayeamini kwamba [emoji196][emoji196] watavuna point 3 kwa Azam, akapimwe akili.
Huyo jamaa yako hata mimi huwa namuona kama kapagawa!!Rudi tuu kushabikia timu iliyopo damuni maana kila siku ooho nawaonea huruma sasa mbona kila uzi upo unachangia?