Kabisa kitu kama hukitaki unaacha kabisa kuwepo huku..mbon wengi tuu wanaacha na huwaaoni tena ila yy kutwaa yupo lakini anatushangaa..na sisi tunamshangaaHuyo jamaa yako hata mimi huwa namuona kama kapagawa!!
Mara kaacha kushabikia Simba na Yanga, mara JF imeshuka hadhi, kiufupi jamaa hawezi kusimamia anacho kiamini.
Ningemuelewa kama angeacha kuchangia jukwaa la michezo, majukwaa mbona yapo mengi humu!!..
🐸🐸ndio mtakaokimbia na chupi 😂😂Mwisho wa show utakimbia ni kichupi chako mkononi.
Joyce? Au huu uzi ni Yanga princess?Tatu Joyce Lomalisa Mutambala
Weka nyumba ,weka mademu zako wote ,lambalamba hatoboi.Tatu Joyce Lomalisa Mutambala
Ndoto za alinacha hizo
Leo Guede anatupia goli mbili peke yake.
Yanga 2-0 Lambalamba.
Mganga nisie na kilinge.
🐸🐸 Ndio watakaolambwaMkuu usijitoe ufahamu Yanga unaijua vyema hamna hamna 3G wakikaa vibaya wanakula Default: KONO LA NYANI -5G
Afrika ni Afrika tu. Kwa waliostaarabika mchezaji akiumia mashabiki wote wanainuka kumtakia heri, huku naona mashabiki wa Azam wanashangilia VUNJAAAA!Azam wangese sana wanatuumizia wachezaji