NBC PL 2024: Updates Yanga vs Azam 17/ March 2024 Mkapa Stadium

Kabisa kitu kama hukitaki unaacha kabisa kuwepo huku..mbon wengi tuu wanaacha na huwaaoni tena ila yy kutwaa yupo lakini anatushangaa..na sisi tunamshangaa
 
Walete rambaramba hao
 
Azam wangese sana wanatuumizia wachezaji
 
Azam wangese sana wanatuumizia wachezaji
Afrika ni Afrika tu. Kwa waliostaarabika mchezaji akiumia mashabiki wote wanainuka kumtakia heri, huku naona mashabiki wa Azam wanashangilia VUNJAAAA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…