Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Wameuboresha kwa kufanyaje? Na tokea liniTena wana zali wamekuta uwanja umeboreshwa
Mbumbumbu huyo kawaida yao kuropokaWameuboresha kwa kufanyaje? Na tokea lini
We huoni uko tofauti na kipindi kile ambacho simba ilichezaWameuboresha kwa kufanyaje? Na tokea lini
Leo lazima kuna watu watapiliza Dar1st XI Ya Wataalamu Wa Hizi Kazi Young Africans [emoji91]View attachment 2128578
Simba alikuwa na bahati mbaya mtibwa walifanya uhuni wakachomeka magoli kwenye shamba la mpunga halafu wakaita uwanjaMbumbumbu huyo kawaida yao kuropoka
Na iwe hivyoMtibwa 2-0 Utopolo