Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣😇🤣🤣😇😇Mtibwa kauza mechi
🤣🤣🤣 nanyi mngepanda dau wangewauziaMtibwa kauza mechi
Atakayebainika kupotosha mabango yenye misamiati ya kiswahili ya BAKITA jela miaka 3 au faini ya milioni 5 ama vyote kwa pamoja.Tupo kwenye uchunguzi wa mwanaume anae shabikia yanga tunomba radhi kwa kuchekewesha jinaView attachment 2128747
Viki kumbe wewe ni MwananchiYanga mwaka huu tusiponenepa,basi tunautapiamlo. Yanga love love.
Watag bakita hapoAtakayebainika kupotosha mabango yenye misamiati ya kiswahili ya BAKITA jela miaka 3 au faini ya milioni 5 ama vyote kwa pamoja.
.
Zaidi Bofya Hapa.-https://t.co/xSmswd7ho1 https://t.co/ZYNAI7JieO
Update plz
Ni kweli ndo maana hata ngao ya jamii tulimkamia mdogo pia na bado kwenye ligi tukamkamia mdogo hadi tukatoka 0.0. Upo sahihi 100%Ndio level za utopolo hizo kuwakamia wadogo zake
Usisahau Namungo na Yanga piaKama Marefa Wangetenda Haki Mechi Ya Simba Vs Tz Prisons, Simba Vs Mbeya Kwanza Na Yanga Vs Mbeya City Saiv Kuna Watu Wangekuwa Na Hali Mbaya Sana [emoji2217]
Pana utundu wa sure boy pana utundu wa faisal pana ufundi wa aucho pana harakati za tibazonkiza pana kashkash za mayele unaponaje hapo?ukipata sare shukuru. Na bado utatu huo wa fey sure boy na aucho haujakolea ukitulia huo ni ushindi tu.Yanga daima
Mtani Sijui ndo nimefukua uzi. 🤣🤣🤣