Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #281
Siwezi shabikia kikundi cha wahuniKaribu Yanga acha kushabikia timu za kuunga unga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi shabikia kikundi cha wahuniKaribu Yanga acha kushabikia timu za kuunga unga.
Mtanagazaji Hasheem Ibwe anadai kuwa watu wanasema Bangala kashuka uwezo kwa siku za karibuni
Hayo yenu makolo hayatuhusu aseeSisi Kwa Sasa tunaiwakilisha nchi kimataifa, suala la Gap la points ni vitu vidogo tu kwetu
Mkuu Macho Yako Yanaona Tofauti Na Unachokiona [emoji23][emoji23][emoji23]Mwenendo wa wiki ni 2 kavu mwenyeji akishinda.
Siumii nakwambia tuUnaumia ukiwa wapi ?Helloo
Tuwe na subiraPlan zenu mlizopanga sisi tumeshapita humo zamani sana
Na mnavyojua kulia lia mtatafuta hurumaTumecheza na Police ,Prisons,Mtibwa,Mbeya kwanza,Namungo, Coastal Union na zingine kama nimesahau wananchi nikumbusheni.........mechi nyingi mzunguko wa 2 tunacheza Kwa Ben hapo ,chache nje.....Simba anamechi nyingi zaidi kwenye mashamba ya mpunga mikoani kuliko sisi......so pole sana
Litawapata tuDua la kuku....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona hata Simba aliuza mechi ya ngao ya hisani.Mtibwa kauza mechi
Labda draw ya kabatileo nishaona draw hapa!daaah
Unateseka Sana koloPumbavu eti mnaomba dua
Mkishashinda muanze kutusi
Mnafanya uhuni kama marapa wa kimarekani
Title la nyimbo "fck that btch"
Ngoma ime hit sasa umealikwa Kwenye interview kuelezea nini kimesababisha ngoma hiyo kupendwa
unaanza kusema "kabla ya hapo nilimuomba sana mungu na akanisikia"
Tukueleweje