Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
🤣🤣🤣🤣Wengine Hawatumii Panadol Awaletee Mwarubaini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Wengine Hawatumii Panadol Awaletee Mwarubaini
Mtibwa 2-0 Utopolo
Timu hawa jamaa ni ya kuunga unga sanaHivi Makolo fc walishindwaje kupata hata goli la offside tu kwenye uwanja wenye kapeti nzuri kama huu wa Manungu Turiani? 😫
Yanga mwaka huu tusiponenepa,basi tunautapiamlo. Yanga love love.
Hii ndo ya zamani.Rudisha avatar ya zamani
Huyo ndiyo mtabiri wa mikia,saizi amejificha shimoni kama PanyaDah! Umepatia mpaka basi!
1-0 matokeo ya leo
Basi sawaMtibwa 2-0 Utopolo
Mtabiri uje uchukue matunguri yako hukuMtibwa 2-0 Utopolo
Uwanja unaruhusu matokeo hayo?
Au bahasha ya kaki ilitangulia kabla ya kikosi?
Naona wanachungulia tu Kwa mbaaaaaliKuna Watu Humu Siwaoni Wakati Mwanzoni Walikuwepo
Acha nao hao maneno ya wakosajiMmeanza! 😊