Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #161
Yessssssss💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Saidoooooooo💚💛💚💛
Cheki mnavyoshangilia utafikiri mmepata goli la kuongoza group CAFNtibaaaaaaaaaaa Antibiotic Wooooo w
Haha Kila Mtu Ashinde Mechi Zake Na Ashangalie Magoli YakeCheki mnavyoshangilia utafikiri mmepata goli la kuongoza group CAF
Acha roho ya kike wewe ni mwanaume una wivuCheki mnavyoshangilia utafikiri mmepata goli la kuongoza group CAF
Haya ngoja tuoneHaha Kila Mtu Ashinde Mechi Zake Na Ashangalie Magoli Yake
Jaribu kubashiri tenaMtibwa 2-0 Utopolo
Mpira yamesimama kwA muda kufuatia faulo ya kihimbwaBaada ya yanga kulalamika kuhus kutopewa dakika nyinginza nyongeza hatimaye leo kilio chao kimesikika
zimeongezaa 5
Ni kwasababu tarehe za mshahara zimefikaNimemsikia Saidoo anasema mbele ya camera
" I love you Yanga"
Ushawai kubet mjomba?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtibwa 2-0 Utopolo
Endelea kukaa kwenye njia si unataka kugongwaManara anatakiwa BAKITA ndio habari ya mjini msitutoe kwenye njia na hatutaki hayo mengine.
Sawa Tutaona TuHaya ngoja tuone
Hapo wivu uko wapi sasa?Acha roho ya kike wewe ni mwanaume una wivu