Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #121
Nkane anapiga shuti dogo na kudakwa vizuri na kipa Kisubi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa kashapagawa na zile sifa, sasa ana force kila mechi afunge ili awe na muendelezo wa ujiko32' Fiston Mayele anapiga shuti na kupaisha bado ni 0-0
Kama diarra tuHuyu Kisubi Kajitahidi Ila Soon zitapenya Tu
Amezingua sanaHuyu jamaa kashapagawa na zile sifa, sasa ana force kila mechi afunge ili awe na muendelezo wa ujiko
Katika moment ngumu kama hii ambayo nafasi ukiipata unatakiwa uitumie vizuri kulingana na mazingira ya uwanja yalivyo lakini anakuwa mchoyo
Haya ebu mcheki nkane hapo kapiga shuti ambalo limekuwa rahisi sana kwa kipa, umakini sijui ni papala au namna gani ila hii ilikuwa nafasi nzuri kwao
leo nishaona draw hapa!daaahMuda mchache ujao, kutakuwa na mchezo mkali kati ya Mtibwa Sugar Vs Yanga Sc
Mchezo huo unategemewa kuvuta hisia za mashabiki wengi, kwani Mtibwa anaonekana kama mgumu akiwa uwanja wa nyumbani.
Je, Yanga ataweza kuibuka na alama zote tatu ugenini? Mpira dakika 90, tukutane hapa kwa updates za mechi hiyo!!
View attachment 2128590
View attachment 2128591
YANGA lia lia , wanapigwa 1.Muda mchache ujao, kutakuwa na mchezo mkali kati ya Mtibwa Sugar Vs Yanga Sc
Mchezo huo unategemewa kuvuta hisia za mashabiki wengi, kwani Mtibwa anaonekana kama mgumu akiwa uwanja wa nyumbani.
Je, Yanga ataweza kuibuka na alama zote tatu ugenini? Mpira dakika 90, tukutane hapa kwa updates za mechi hiyo!!
View attachment 2128590
View attachment 2128591
Ukubwa wao ni kwa umri tu.. Lakini hawana umuhimu wowote kwa Taifa yaani..!Yanga wameshindwa kutuonesha kama wao ni timu kubwa
Mayele wamemchezea rough nimesikitika sana
Mpelekee BundukiRefa inabidi amlinde
Mpelekee Bunduki