hamna kitu hapa ,hii timu tuna Onyago ,Inoga Manula wengine hamna lolote hasa hawa wengine wa kimataifa,polisi wamekaa kujilinda sana ila mfano wafunguke na kushambulia Simba wanafurahishwa,hii Simba bado sanaKwanini kaka?, sipo kwenye kideo
Sana SanaTunamuhitaji sana Duncan nyoni kwenye assists
siyo Ile Simba tena inayopiga biriani hadi wanaingia 18 na kufungaBiriani kwishinei
Kwaninsimba imefungwa?Nilisema hawa polisi wakifunguka na kushambulia Simba wanafungwa
Nakuhakikishia Simba hatuezi fungwa beki iko imaraNilisema hawa polisi wakifunguka na kushambulia Simba wanafungwa
Mimi Simba tuwe wakweli Simba hii kwa aina ya mchezo huu kimataifa hatuendi popote na hata kwenye ligi kazi ipo maana hatuna tofauti na timu zingine za ligi kuuHuu mpira hauridhishi kabisa, hii sio simba tuliyoizoea
Sema hivi vitimu vina kamia kinoma sio vya kuvi underestimateSimba kwa mpira huu mpaka sasa msimu huu ni wa maumivu...
je kama mtindo huo Simba watafunga ?tumsubiri Morison aingieNakuhakikishia Simba hatuezi fungwa beki iko imara
Galaxy nao walikamia? Tuwche huu upuuzi wa kudai tunakamiwa wakati timu mbovu..Sema hivi vitimu vina kamia kinoma sio vya kuvi underestimate
na hapo ni kwa mkapa he mikoani itakwajeKumbe hatukamiwagwi bali tuko wabovu aisee...