ChaterMaster
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 1,623
- 803
Birian lingebak kama gomez angekuwepoBiriani kwishinei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Birian lingebak kama gomez angekuwepoBiriani kwishinei
Mark ma words, kosa la kijinga na kubwa tulilofanya na kufukuza Kocha gomez na wenzakeHuu mpira hauridhishi kabisa, hii sio simba tuliyoizoea
Gomez yupo tangu mechi ya kwanza msimu huu na Hilo biriani hajatujaliona.Birian lingebak kama gomez angekuwepo
mkuu Simba mpaka itengamae itachukua mdaSimba haiko aggressive kabisa kwenye ushambuliaji msimu huu, japo wanaweza kuimarika hapo mbeleni wakiweka umakini.
Wapambane tu wafanye vizuri kwenye ligi ya ndani na muhimu sana watinge hatua ya makundi ya shirikisho maana wakitolewa tena watavunja mioyo ya mashabiki wao.
Tuwe na subiraSimba pumzi zimekata
gomez angepewa muda awafunze watoto aliowasajil, kitendo cha kumwondoa unakata connextionGomez yupo tangu mechi ya kwanza msimu huu na Hilo biriani hajatujaliona.
Tatizo Simba tunammisi chamaa kwasababu alikuwa muhimu kwenye kuunganisha kulia na kushoto, kuunganisha mbele na nyuma, so alikuwa anaamua jinsi ambavyo timu icheze.
Kwasasa Simba hatuna mtu anayeichezesha timu
Haiez tengemaa maana hatuna cocha wa kuendeleza falsafa iliyokuwepomkuu Simba mpaka itengamae itachukua mda
Huu ndio ulikuwa wakati sahihi kumuondoa Gomez, si afya sana kwa timu kubwa kama Simba kuwa na kocha anayekaa jukwaani kwenye mechi za kimataifa kwa sababu hana vigezo.Kosa kubwasana kumfukuza Gomez
si kwel, kocha ana nguvu hata akikaa jukwaan, maananana muda mwng wa kukaa na kuwafunza wachezaj mazoezin na kweny mech za ndan (lig)Huu ndio ulikuwa wakati sahihi kumuondoa Gomez, si afya sana kwa timu kubwa kama Simba kuwa na kocha anayekaa jukwaani kwenye mechi za kimataifa kwa sababu hana vigezo.
mi nakuambia Simba watamleta kocha mwingine baada ya kutoka kimataifaHaiez tengemaa maana hatuna cocha wa kuendeleza falsafa iliyokuwepo
Falsafa inaletwa na kocha
Wapo tele huko utopoloni .. mzee saido, mzee djuma, mzee mayele, mzee kaseke, ... list ni ndefu.Mikia toeni wachezaje wazee haoo...
Simba inapitia kipindi ambacho klabu nyingi hupitia (mfano Barcelona) kwa Sasa muhimu ni kukaa chini kwa pamoja kuangalia mapungufu yalipo na kujitahidi kuyatatua na kujaribu kujipa muda (uvumilivu).mkuu Simba mpaka itengamae itachukua mda