NBC Premier League: Police Tanzania 0-1 Simba SC (27/10/2021)

NBC Premier League: Police Tanzania 0-1 Simba SC (27/10/2021)

si kwel, kocha ana nguvu hata akikaa jukwaan, maananana muda mwng wa kukaa na kuwafunza wachezaj mazoezin na kweny mech za ndan (lig)
Kitemdo cha kumtoa Gomez iltakiwa aletwe mwengne zaid yake sio kutuachia ndondocha ndiayagire
Kilichotukuta kwenye mechi na Galaxy tuliona umuhimu wa kuwa na kocha mkuu uwanjani kwenye mechi muhimu.
 
Ila boco anamiguu mirefu kaaah[emoji23][emoji23]
 
Kilichotukuta kwenye mechi na Galaxy tuliona umuhimu wa kuwa na kocha mkuu uwanjani kwenye mechi muhimu.
Hapana, kwan kocha angefanya nn kwenye UZEMBE wa Manula na Wawa kwenye gol la pil la Galaxy
Tambua kutofautsha makosa ya kocha na mchezaj bnafa
 
Back
Top Bottom