castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
Kufunga ndo shida hapa tunaitaji Morrison na Duncan wasumbufuje kama mtindo huo Simba watafunga ?tumsubiri Morison aingie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufunga ndo shida hapa tunaitaji Morrison na Duncan wasumbufuje kama mtindo huo Simba watafunga ?tumsubiri Morison aingie
kama unaangalia hapo mpira hapo Simba imekamiwa wapi? Polisi wanacheza tu kawaida ,tusisingizie tunakamiwa timu inapofeliSema hivi vitimu vina kamia kinoma sio vya kuvi underestimate
No Man,kwa uchezaji huu wa Simba hata wakicheza dakika 200 na timu yoyote ile Tanzania hawapati matokeo.Sema hivi vitimu vina kamia kinoma sio vya kuvi underestimate
Anatoka simbaKwa Mkapa hatoki mtu
Mkuu upo Sawa🦾Kufunga ndo shida hapa tunaitaji Morrison na Duncan wasumbufu
Utakuwa ushindi wa kubahatisha tu na juhudi za mchezaji binafsi.Polisi watakaza ila mwisho wa Game lazima wafungwe
Ni kweli kocha aangalieSo far mnyama amecheza vizuri nikweli umaliziaji sio mzuri
We unaonaje nyani, Mmoja wewe?Kwaio pira biriani ilishaishaga
Saiv ni piga mbele tufunge
Watu wanapaisha penalty sembuse mpira una moveHuyu Bwalya pamoja na uzoefu alokuwa nao ligi ya bongo Ila bado tu dah,akipiga anapaisha
Kwani tayari wamefungwa?Nilisema hawa polisi wakifunguka na kushambulia Simba wanafungwa
Kufunga ndo shida hapa tunaitaji Morrison na Duncan wasumbufu
No Man,kwa uchezaji huu wa Simba hata wakicheza dakika 200 na timu yoyote ile Tanzania hawapati matokeo.
Simba haiko aggressive kabisa kwenye ushambuliaji msimu huu, japo wanaweza kuimarika hapo mbeleni wakiweka umakini.kama unaangalia hapo mpira hapo Simba imekamiwa wapi? Polisi wanacheza tu kawaida ,tusisingizie tunakamiwa timu inapofeli
Kosa kubwasana kumfukuza GomezSimba mwaka huu kazi tunayo