Kilichotukuta kwenye mechi na Galaxy tuliona umuhimu wa kuwa na kocha mkuu uwanjani kwenye mechi muhimu.si kwel, kocha ana nguvu hata akikaa jukwaan, maananana muda mwng wa kukaa na kuwafunza wachezaj mazoezin na kweny mech za ndan (lig)
Kitemdo cha kumtoa Gomez iltakiwa aletwe mwengne zaid yake sio kutuachia ndondocha ndiayagire
haikubaliki kwa kweliUkisikia Fitna Za Soka ndo hizi....Unakataaje Goli Zuri Kama lile...! Kongole MK 14.
Mpaka sasa sijaelewa imekuwaje ni offsideUkisikia Fitna Za Soka ndo hizi....Unakataaje Goli Zuri Kama lile...! Kongole MK 14.
Kwamba hukuona kagere alikuwa mbele zaidiMpaka sasa sijaelewa imekuwaje ni offside
Kama tu polisi anamkimbiza hivi vp akikutana na yangaSimba wanaweza wakawa wabovu Ila siyo kwa ligi ya ndani
Ikawaje hamjaongoza mpaka sasaDakika 15 za mwanzo inatakiwa tuwe tunaongoza goli 2
Sawa bro ata ivo mm apa ni njau 1 wala aipingiki
Hakuna tena magoli ya offside msimu huu! Waamuzi wameamua kusimama kwenye haki.Mpaka sasa sijaelewa imekuwaje ni offside
Hao wengine wanaopoteza huwaoni?Bwalya anapoteza mipira nyingi ,Bwalya hovyo kabisa unaona kabisa move inakuja anapokea pasi halafu anatoa pasi hovyo hovyo
Hapana, kwan kocha angefanya nn kwenye UZEMBE wa Manula na Wawa kwenye gol la pil la GalaxyKilichotukuta kwenye mechi na Galaxy tuliona umuhimu wa kuwa na kocha mkuu uwanjani kwenye mechi muhimu.
Kisiwe ndio kichaka cha kuficha ubovu wa simba...Ukisikia Fitna Za Soka ndo hizi....Unakataaje Goli Zuri Kama lile...! Kongole MK 14.