NBC: Timu yangu inaongoza, yako nafasi ya 3

Kuongoza ligi na jambo la ajabu sana kwenu mpaka kufungua uzi kila siku mnapoongoza.

Makolo ndio kawaida kuhadaika na mambo madogo ;
*Goli la Sakho
*Kiatu cha mpole
*CAF kuwapost nk.
 
Kuiona Simba ikiongoza ni sawa na punda kukaa juu ya mti, kama si wamapambo basi ujue kabebwa na kuwekwa apo.
Shida si kumpandisha punda juu ya mti na kumweka apo, shida ni kumzuia punda aendelee kukaa apo.
Sisi yetu macho[emoji3][emoji3][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…