REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu, tangu semiza zianze ni siku ya kumi na moja Leo kuna baaadhi ya halmashauri hazijalipa hata senti moja. Swali, hao wanasemina wanaishije, usafiri, nk?
Angalizo, kuna uhuni unaendelea watu wanawatoa watu waliokaa siku nane semina wanaleta watu wao, zile siku nane wanajiandikia wao.
Wito, kama mtu kafukuzwa alipwe pesa yake, na kwanini watu wakae semina siku zaidi ya tano bila malipo? Huo si uhuni na mazingira ya upigaji?
Mama Makinda watch out! Kuna uhuni unaendelea, kama hamjatoa pesa semeni.
Angalizo, kuna uhuni unaendelea watu wanawatoa watu waliokaa siku nane semina wanaleta watu wao, zile siku nane wanajiandikia wao.
Wito, kama mtu kafukuzwa alipwe pesa yake, na kwanini watu wakae semina siku zaidi ya tano bila malipo? Huo si uhuni na mazingira ya upigaji?
Mama Makinda watch out! Kuna uhuni unaendelea, kama hamjatoa pesa semeni.