DOKEZO NBS toeni tamko: Ulipaji wa pesa za semina za Sensa kuna uhuni unafanyika

DOKEZO NBS toeni tamko: Ulipaji wa pesa za semina za Sensa kuna uhuni unafanyika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu, tangu semiza zianze ni siku ya kumi na moja Leo kuna baaadhi ya halmashauri hazijalipa hata senti moja. Swali, hao wanasemina wanaishije, usafiri, nk?

Angalizo, kuna uhuni unaendelea watu wanawatoa watu waliokaa siku nane semina wanaleta watu wao, zile siku nane wanajiandikia wao.

Wito, kama mtu kafukuzwa alipwe pesa yake, na kwanini watu wakae semina siku zaidi ya tano bila malipo? Huo si uhuni na mazingira ya upigaji?

Mama Makinda watch out! Kuna uhuni unaendelea, kama hamjatoa pesa semeni.
 
Maana kama kamati za sensa za mikoa na wilaya hajiwai lamba posho vipi hawa wengine?

Nimejaribu kuwaza 1.3M zidisha kwa makarani 250,000 nchi nzima. Mwigulu ana hiyo hela kweli?
Watakuwa WEHU wasipokuwa nayo. Sensa ni Baada ya miaka 10 wakosaje kujipanga!!? Issue sio kutokuwapo Bali uhalisia na uhalali wa malipo ndio chenga. Kuna watu wamepigwa nyie acheni. Watu wanalamba asali.
 
Watakuwa WEHU wasipokuwa nayo ....sensa ni Baada ya miaka 10 wakosaje kujipanga!!? Issue sio kutokuwapo Bali uhalisia na uhalali wa malipo ndio chenga..... Kuna watu wamepigwa nyie acheni .... Watu wanalamba asali....
Kwa akili ya kawaida tu unamuwekaje mtu mafunzo kuanzia asubuhi mpaka jioni kwa kumpa chai na chakula cha mchana siku kumi hata mia ujampa je kama uyu mtu ana familia na mwangaikaji si unaumiza familia yake je kama anatokea umbali wa kilometa ishirini mpaka eneo la semina hiyo nauli kuja na kurudi si uhuni huu kama walikuwa hawajipanga wangeaacha siyo kuweka watu ten days hata mia ujawapa uzalendo gani huo

Uhuni mwingine wanambiwa mtalipwa kupitia bank, haya bank gani eti yoyote Ile wewe leta account bank 😂😂😂 si wanapigwa hawa huo mchakato wa kuandaa playlist upeleke CRDB watu nane uende NBC watu kumi uende NMB watu ishirini 😂😂 dah yani unawaza unaona hapa Kuna usanii
 
Nimekokota hapa ni biliioni 350+.......hela ndogo sana kwa gvt,labda waibe wa katikati ila mwigulu anayo tayar
Billion 350+ ni pesa ndogo kuelekezwa kwenye malipo tu achilia mbali vifaa na logistics zingine? Kwa Nchi maskini kuelekeza mapesa yote hayo kwa kazi ya mwezi unaita hela ndogo? Hahahaha you cant be serious!!
 
Mi kwa kauli hii ya huyu mama sidhani kama watu hawajapigwa hapa.
Kwa akili ya kawaida tu unamuwekaje mtu mafunzo kuanzia asubuhi mpaka jioni kwa kumpa chai na chakula cha mchana siku kumi hata mia ujampa je kama uyu mtu ana familia na mwangaikaji si unaumiza familia yake je kama anatokea umbali wa kilometa ishirini mpaka eneo la semina hiyo nauli kuja na kurudi si uhuni huu kama walikuwa hawajipanga wangeaacha siyo kuweka watu ten days hata mia ujawapa uzalendo gani huo

Uhuni mwingine wanambiwa mtalipwa kupitia bank, haya bank gani eti yoyote Ile wewe leta account bank 😂😂😂 si wanapigwa hawa huo mchakato wa kuandaa playlist upeleke CRDB watu nane uende NBC watu kumi uende NMB watu ishirini 😂😂 dah yani unawaza unaona hapa Kuna usanii
 

Attachments

  • d55f41f9bad5b5084f747dc48ad332d5.mp4
    1.5 MB
Back
Top Bottom