Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Duu!Wanapiga hesabu za 23% kwenye package ya sensa?
Unategemea nini kutoka kwa Anne Makinda? Watu wale waleee, chama kile kileee..., CCM ni ile ileee! Eti kauli, jamani kuweni serious, oneni aibu japo kidogo.Kwa zile kauli za Anne Makinda sijui ngoja tuone. Maana waru wanapiga hesabu za kukunja 1.3M lakini sidhani.
Kuna watu walifanyakazi ya chanjo ya polio hawajalipwa hadi leo, THIS IS TZZoezi la postcode liliharibika hivi hivi. Hadi leo mahali napoishi namba za vibao zimeandikwa kwa mkaa ukutani. Waliofanyakazi ya posti kodi wanadai zaidi ya laki moja posho yao ilifia huko huko halmashauri X
Sasa ndugu mwalimu mwenzangu unafurahia hawa vijana kutapeliwa au kulipwa kidogokidogo ili wasipate mitaji?kuwa na huruma na hawa wazalendoMlikuwa mkishusha nyuzi Sana humu Tena mkatutukana walimu wenu eti tuna roho mbaya ...Sasa sikieni nyie makarani ...sensa itaisha na mitaji hamtapata hela mtapewa 200 ,miambili mpk itaisha ..hiyo ndio serikali...!!!
Ha ha aaa hili Ni kweli kabisa na lasaba wamoNdiyo maana wamechukua form four wengi
Nyie vumilieni tu hata msipolipwa sawa tuSasa ndugu mwalimu mwenzangu unafurahia hawa vijana kutapeliwa au kulipwa kidogokidogo ili wasipate mitaji?kuwa na huruma na hawa wazalendo
KAZI ina mkataba.Sioni tatizo maana vyovyoye itakavyokuwa lazima pesa ilipwe.Nyie vumilieni tu hata msipolipwa sawa tu
Huijui serikali dogo ...tulia tu baada ya siku 3 utaleta Uzi mwingine humuKAZI ina mkataba.Sioni tatizo maana vyovyoye itakavyokuwa lazima pesa ilipwe.
Walimu ndio maana tunasemwa kuwa na roho mbaya.Yaani umekazana kulazimisha hakuna malipo utafikiri wewe ni Anna makinda! Machungu ya 23.3% ya July isikufanye kutamani kila MTU adhulumiweHuijui serikali dogo ...tulia tu baada ya siku 3 utaleta Uzi mwingine humu
1.3M? [emoji1][emoji1][emoji1] Nchi ipi hiyo wakipewa saaaana 560kKwa zile kauli za Anne Makinda sijui ngoja tuone. Maana waru wanapiga hesabu za kukunja 1.3M lakini sidhani.
Mmh ndio nakusikia wewe.... Mmh halmashauri gani hiyo dohKuna watu walifanyakazi ya chanjo ya polio hawajalipwa hadi leo, THIS IS TZ
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Umeandika mawazo yako kwa hisia zako tu, kama na wewe ni mmoja wa waliofurushwa kutokana na kufeli mafunzo usilielie….. malipo siku zote ni baada ya semina.
Aachane na mambo ya uzalendo, hii ni moja ya njia ambayo serikali inaweza kuingiza pesa kwenye mzunguko na yenyewe ikawa imefaidika na hilo zoezi kufanyika kwa ufanisi, labda waseme hawakujiandaa kwa hiyo miaka 10.Mi kwa kauli hii ya huyu mama sidhani kama watu hawajapigwa hapa.