Kwetu kaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 582
- 475
Hilo nalo mkalitizame
Ila nadhani usiri ushaanza kukosekana.
Ila nadhani usiri ushaanza kukosekana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee utakua mwalimu uliyekatwa kwenye maombi,mmeshazoea umaskini waoga kudai haki zenuKama sio upotoshaji basi watu wa aina ya ni wapuuzi wakubwa, posho ni kwa ajili ya kazi na kuna taratibu zake….. mtu halipwi kwa huruma eti hakuwa na ajira.
Alikuwa anaishije, acheni upuuzi…. bora turejeshe walimu tu.
Ni ajira ipi unalipwa kabla ya kazi?
You have nailed it.Tatizo la mama yangu, she is too humble, anadanganyika kirahis...sio sceptical kabisa. Anamwamini mtu haraka sana.Sensa imekosa coordination,na serikali inapaswa kuingilia kati haraka kabla mafunzo hayajaharibika.
Uhuni wa Sensa upo hivi.
Ni zoezi pekee lisilokuwa na mwongozo wa malipo kwa wahusika,kama mwongozo upo basi Waratibu wa sensa Mikoa na wilaya wameificha.
Mazoezi yote ya kitaifa huwa yanaanza na kutaja maslahi ya washiriki kwa kika kundi,ili kuondoa sinto fahamu huwa wanansomewa siku ya kwanza.
Huwa inafanywa hivyo kwa mazoezi nyeti ya kitaifa.
Lakini kwenye hii Sensa kila mtu hana majibu.
Makarani kwenye mikoa yote baadhi wamesomewa na maeneo mengine hawajui watalipwa nini.
Mbaya zaidi Walimu wao ,yaani wakufunzi wa mafunzo hawajui watalupwa pesa Kiasi gani.
Yaani kika wilaya na Kila mkoa una malalipo yake.
Yaani ukiwauliza Mbeya ambayo ni jiji wanatofautiana na Dar es salaam ambao ni jiji na ni tofauti na Dodoma na Mwanza.
Ukiuliza Mtwara manispaa,ukalinganisha na Shinynaga,Kigoma na Tabora kila manispaa wana malipo yake.
Hakuna mwongozo wa kitaifa kwa zoezi hili kujua kila kundi lilipwe nini kwa utaratibu gani ambao utarahisisha ukaguzi wa hizo fedha za Umma.
Yaani malipo ya Makarani,Wakufunzi na ITs yanategemea huruma ya Mratibu wa Mafunzo wa Mkoa.
Kukosa mwongozo kunaweza kuwa kwa bahati mbaya au Mkakati wa wizi uliondaliwa kuanzia Ngazi ya taifa.
Mwigulu Nchemba anafanya kazi nzuri sana ya kutafuta pesa,lakini asipoingiliankati fedha itatumika na lengo halitafikiwa.
Sensa inaelekea kuharibika,Watu wa usalama wapo,Takukuru wapo ,saidieni serikali kudhibiti ujinga unaofanywa na baadhi ya Maafisa wa Serikali.
Mlisema Rais Magufuli alikuwa anafanya kika kitu yeye mwenyewe,alilenga kukomesha huu ujinga wa mazoezi ya kitaifa kukosa mwongozo uliowazi.
Raisa Samia kawapa uburu ili mumsaidie kwa kutumia elimu zenu,mnachofanya mnafanya watu wamuone kashindwa kuwasimamia.mnamuharibia.
Wizara ya fedha au Ofisi ya waziri Mkuu itie mwingozo haraka,watu walulwe kwa wakati kwakuea Bajeti ipo na fedha zimeshatolewa.
Kendelea kukaa kimywa wakati kuna manung'uniko kwenye madarasa yote ya Mafunzo,mtaharibu zoezi.
Bado mnaweza kuweka vizuri Mambo na watu wakarudi kwenye marali ya kufundisha na kujifunza.
Mliopo karibu na Mwigulu na Waziri Mkuu mfikishieni huu ujumbe.
Ushapima umuhimu wa hiyo kazi ya mwezi mmoja?Billion 350+ ni pesa ndogo kuelekezwa kwenye malipo tu achilia mbali vifaa na logistics zingine? Kwa Nchi maskini kuelekeza mapesa yote hayo kwa kazi ya mwezi unaita hela ndogo? Hahahaha you cant be serious!!
Dira ya maendeleo kama katiba mpya itakuepo.Tumeshuhudia watu au MTU kujiamlia kufanya au kutofanya kitu Fulani Kwa manufaa binafsi.Ushapima umuhimu wa hiyo kazi ya mwezi mmoja?
Sensa ndio dira ya Maendeleo kwa miaka kumi ijayo.
Kwani malipo yakoje hasa?Ktk kazi ya Sensa malipo hayatazidi lak 5, nipo nimekaa pale
Anajizima data huyu,ndio maana mwamba akutaka kabsa kucheka na kima.Hapo data zitapikwa,na picha itaishia hapo,eti mama anataka watu wanaosukumwa kufanya kazi toka mioyoni mwao,hawajui viongozi wa Tanzania nini?
Viongozi wengi wa Tanzania wana njaa kali.Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu, tangu semiza zianze ni siku ya kumi na moja Leo kuna baaadhi ya halmashauri hazijalipa hata senti moja. Swali, hao wanasemina wanaishije, usafiri, nk?
Angalizo, kuna uhuni unaendelea watu wanawatoa watu waliokaa siku nane semina wanaleta watu wao, zile siku nane wanajiandikia wao.
Wito, kama mtu kafukuzwa alipwe pesa yake, na kwanini watu wakae semina siku zaidi ya tano bila malipo? Huo si uhuni na mazingira ya upigaji?
Mama Makinda watch out! Kuna uhuni unaendelea, kama hamjatoa pesa semeni.
Wanafukuzwa kwa niniKuna roho inaniambia ni sawa. Na kuna nyingine inaniambia siyo sawa.
Anyway, sipingani na kucheleweshewa pesa ila napinga katakata watu kufukuzwa wakati wamehudhuria semina zaidi ya wiki.