Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
Songea muda huu wamelipwa , niongeza ya nauli 20000 , sio kusema hawana pesa, pesa zpo tatizo urasimu mwingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 40,000 per day na chakula wanalishwa.Ndugu zangu,
Posho ni 30,0000 kwa siku. Kati ya hizo mzabuni wa chakula analipwa 10000 kwa chai na chakula cha mchana.
40 per day unasema ela mbovu?kwani ulikua unajua bei gani?maana tangu mwanzo ilikua inafahamika ni 40Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa wamelipa tayari jana kwa baadhi ya kata sina uhakika kwingine ila hela mbovu 40 per day plus nauli 10k ujanja janja tu
Hahahaa, yan binadamu hawana jemA40 per day unasema ela mbovu?kwani ulikua unajua bei gani?maana tangu mwanzo ilikua inafahamika ni 40
CCM hii haina ridhaa ya wananchi hivyo lazima ienda kilaana laana tu na haita faulu chochote.Mpaka itakapojua kwamba sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU.Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu, semiza zianze ni siku ya kumi na moja Leo kuna baaadhi ya halmashauri hazijalipa hata senti moja. Swali, hao wanasemina wanaishije, usafiri, nk?
Angalizo, kuna uhuni unaendelea watu wanawatoa watu wamekaa siku nane semina wanaleta watu wao zile siku nane wanajiandikia wao.
Wito, kama mtu kafukuzwa alipwe pesa yake, na kwanini watu wakae semina siku zaidi ya tano bila malipo? Huo si uhuni na mazingira ya upigaji?
Mama Makinda watch out! Kuna uhuni unaendelea kama hamjatoa pesa semeni.
Nahisi hata kwenye zoezi hayumo.Maana wanasensa wote wanafahamu ni 40 per dayHahahaa, yan binadamu hawana jemA
Ahaa watu tupo siku ya kumi na moja hata huo mkataba hatujui unarangi gani wala pesa hatujui zinanukia vipi utaratibu gani huu wa kaziKAZI ina mkataba.Sioni tatizo maana vyovyoye itakavyokuwa lazima pesa ilipwe.
Halmashauri nyingi tu fatilia kanda ya ziwaMmh ndio nakusikia wewe.... Mmh halmashauri gani hiyo doh
Watu wanaongea serious issue wewe unaleta porojo hapa, tulia tena tulo hivi unaijua hii nchi wewe, wewe kenya kenua meno zoezi litaisha mtaishia kuomba msaaada ukiona watu wapo serious na vitu tuliaUmeandika mawazo yako kwa hisia zako tu, kama na wewe ni mmoja wa waliofurushwa kutokana na kufeli mafunzo usilielie….. malipo siku zote ni baada ya semina.
Tarifa za kintalijensia hazipo hivyo kaa JF ujifunze vitu vingi utaokoka sema amenUnatakiwa taarifa yako iwe na maelezo kamili ya halmashauri gani imefanya hivyo na lini na nani msimamizi wa kituo na idadi ya walio fukuzwa ili iweze kufanyiwa kazi
Kun Halmashauri zingine wameambKwa information za ndani kila mwanasensa atalipwa 40000@19days =760,0000/= siyo mbaya ,ukizingatia hali ilivyo ngumu
Kun Halmashauri zingine wameambiwa ni sku 16 na wala sio kwa makalani wa kawaida
Mkuu utatokaje kilometer 20?wkt kwenye tangazo la kuomba kazi lilisema uombe eneo husika unaloishi yaan uwe mkaz wa pale,ndo maana mwenyekiti wa Kijiji lazima athibitishe na upigiwe muhur na kitongoji au Kijiji,,hao wanaosema wanatoka mbali wapiKwa akili ya kawaida tu unamuwekaje mtu mafunzo kuanzia asubuhi mpaka jioni kwa kumpa chai na chakula cha mchana siku kumi hata mia ujampa je kama uyu mtu ana familia na mwangaikaji si unaumiza familia yake je kama anatokea umbali wa kilometa ishirini mpaka eneo la semina hiyo nauli kuja na kurudi si uhuni huu kama walikuwa hawajipanga wangeaacha siyo kuweka watu ten days hata mia ujawapa uzalendo gani huo
Uhuni mwingine wanambiwa mtalipwa kupitia bank, haya bank gani eti yoyote Ile wewe leta account bank 😂😂😂 si wanapigwa hawa huo mchakato wa kuandaa playlist upeleke CRDB watu nane uende NBC watu kumi uende NMB watu ishirini 😂😂 dah yani unawaza unaona hapa Kuna usanii
Kwan lazima Nile kwake,mm nimetoka chuo na uziefu wa pasi ndefu why kulazimishana kula Tena Kwa bei elekeziNdugu zangu,
Posho ni 30,0000 kwa siku. Kati ya hizo mzabuni wa chakula analipwa 10000 kwa chai na chakula cha mchana.