DOKEZO NBS toeni tamko: Ulipaji wa pesa za semina za Sensa kuna uhuni unafanyika

DOKEZO NBS toeni tamko: Ulipaji wa pesa za semina za Sensa kuna uhuni unafanyika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Maana kama kamati za sensa za mikoa na wilaya hajiwai lamba posho vipi hawa wengine?

Nimejaribu kuwaza 1.3M zidisha kwa makarani 250,000 nchi nzima. Mwigulu ana hiyo hela kweli?
Anaikosaje wakati nchi hii tajiri sana! Magu alikuwa sahihi, nchi ina pesa hii, tatizo letu ni vipaumbele tu. Wanasiasa wanakula mkwanja wa kujipimia tu yani! Keki [emoji513] ya taifa inaliwa na wachache!
 
Zoezi la postcode liliharibika hivi hivi. Hadi leo mahali napoishi namba za vibao zimeandikwa kwa mkaa ukutani. Waliofanyakazi ya posti kodi wanadai zaidi ya laki moja posho yao ilifia huko huko halmashauri X
Hakuna zoezi la kitaifa limewahi kwenda vizuri kama lilivyopangwa. Tuna ulafi na tamaa ya pesa ajabu. Bajeti iliyopangwa haifiki chini kwa mlengwa kama ilivyo. Kila inapopita inapigwa panga! Mwisho wake zoezi linaishia njiani!
 
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu, semiza zianze ni siku ya kumi na moja Leo kuna baaadhi ya halmashauri hazijalipa hata senti moja. Swali, hao wanasemina wanaishije, usafiri, nk?

Angalizo, kuna uhuni unaendelea watu wanawatoa watu wamekaa siku nane semina wanaleta watu wao zile siku nane wanajiandikia wao.

Wito, kama mtu kafukuzwa alipwe pesa yake, na kwanini watu wakae semina siku zaidi ya tano bila malipo? Huo si uhuni na mazingira ya upigaji?

Mama Makinda watch out! Kuna uhuni unaendelea kama hamjatoa pesa semeni.
Mnadai malipo wakati hata hamjatuhesabu jamani.
 
Huk
Huku nilipo hukuna mtu kafukuzwa hila kuhusu posho ni 0-0 na kuhusu logistics Ni kwel hawana Ni kuhusu mitihan watu wamepata 100 90%
Leo siku ya 11 watu hawajapewa hata sh 100

Athari negative Ni kuwa
Breakfast+lunch Ni mbaya Sana na mwisho wa siku watu wameanza kujipanga kupika data as a revenge.
Shida ipo Kwa wanazoezi pia.Nyuzi zingine MTU anakurupuka kalipwa laki 950 bado anadai 650.Kauli ilipaswa iwe moja,kama hakuna walikolipwa nchi ijue,sio MTU unajikurupusha kujidanganya umelipwa huku unajua unajidanganya mwenyewe.
 
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu, semiza zianze ni siku ya kumi na moja Leo kuna baaadhi ya halmashauri hazijalipa hata senti moja. Swali, hao wanasemina wanaishije, usafiri, nk?

Angalizo, kuna uhuni unaendelea watu wanawatoa watu wamekaa siku nane semina wanaleta watu wao zile siku nane wanajiandikia wao.

Wito, kama mtu kafukuzwa alipwe pesa yake, na kwanini watu wakae semina siku zaidi ya tano bila malipo? Huo si uhuni na mazingira ya upigaji?

Mama Makinda watch out! Kuna uhuni unaendelea kama hamjatoa pesa semeni.
zoezi limeingiliwa na rushwa, dhuluma na uonevu mkubwa kuanzia kwenye usaili hadi semina yenyewe. Mungu waondolee kiburi watu kama hawa. Serikali iko vizuri tatizo watendaji wake ni hovyo kabisa, wabinafsi sana.
 
Billion 350+ ni pesa ndogo kuelekezwa kwenye malipo tu achilia mbali vifaa na logistics zingine? Kwa Nchi maskini kuelekeza mapesa yote hayo kwa kazi ya mwezi unaita hela ndogo? Hahahaha you cant be serious!!
Nahapa hajawahesabu wale wakubwa kuanzia mwenyekt wa sensa taifa na kamisaa kushuka had kwawawezeshaj wa sensa
 
Bil 350+ ingekua pesa ndogo kama ndio ingekua pesa ya zoezi zima. Hiyo ni pesa ya kulipa makarani tu, achilia mbali wengine. Pia kuna mchakato wa hadi sensa kufanyika na kumalizika.

Hata hivyo Hilo zoezi tokea mwanzo mliambiwa Cha kwanza ni uzalendo. Ukiona malipo hayapo au hayafai acha
Huku nyasa leo awamu ya pili imelipwa, jumla had sasa lak 4
 
Ukweli nchi hii bado haijapata Viongozi ila ina kusanyiko la wajinga waliojipa jukumu la kuongoza wenye akili.
Katika hali ya kawaida tu, unawezaji kuwaweka watu bila posho yao kwa siku tena ukijua wengi wao ni wale wasiokuwa na ajira halafu unategemea matokea chanya... Mfumo wetu wa kupata Viongozi ni wa dhambi sana kiasi kwamba tunapata Viongozi wasiokuwa na huruma na wengi wakiwa wezi wakubwa.
 
Back
Top Bottom