DOKEZO NBS toeni tamko: Ulipaji wa pesa za semina za Sensa kuna uhuni unafanyika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wee utakua mwalimu uliyekatwa kwenye maombi,mmeshazoea umaskini waoga kudai haki zenu
 
Nikiwa kwenye daladala Nimesikia wadada wanaoelekea IAA Uhasibu Arusha wakilalamika kupunguzwa na kuongezwa Hovyo hovyo Kwa makarani ambao hawakuwepo toka mwanzo.
Unayesimamia Hicho kituo Cha mafunzo zingatia weledi.
 
You have nailed it.Tatizo la mama yangu, she is too humble, anadanganyika kirahis...sio sceptical kabisa. Anamwamini mtu haraka sana.
 
Billion 350+ ni pesa ndogo kuelekezwa kwenye malipo tu achilia mbali vifaa na logistics zingine? Kwa Nchi maskini kuelekeza mapesa yote hayo kwa kazi ya mwezi unaita hela ndogo? Hahahaha you cant be serious!!
Ushapima umuhimu wa hiyo kazi ya mwezi mmoja?
Sensa ndio dira ya Maendeleo kwa miaka kumi ijayo.
 
Ushapima umuhimu wa hiyo kazi ya mwezi mmoja?
Sensa ndio dira ya Maendeleo kwa miaka kumi ijayo.
Dira ya maendeleo kama katiba mpya itakuepo.Tumeshuhudia watu au MTU kujiamlia kufanya au kutofanya kitu Fulani Kwa manufaa binafsi.
 
Ilikuwa wapewe elf 10 ya chakula kwa siku badala yake wanawalisha ubwabwa wa buku.
Mbongo ashavuta percent yake.elf 7000 anaweka mfukoni. Wapeni watu pesa zao watajua wenyewe jinsi ya kula
 
Hapo data zitapikwa,na picha itaishia hapo,eti mama anataka watu wanaosukumwa kufanya kazi toka mioyoni mwao,hawajui viongozi wa Tanzania nini?
Anajizima data huyu,ndio maana mwamba akutaka kabsa kucheka na kima.
 
Poleni nyote mnaolalamika na kunung'unika, ila chanzo kikuu ni kutokuwekwa wazi kwa mikataba na usimamizi mbovu uliopo,
Kunatime naweza kuilaumu serikali iliopo madarakani ila nafsi nyingine inaniambia hakuna malaika mbele ya pesa huo ndo mwiba mkubwa kwa wanadamu wote,
kila mtu anawaza kujikusanyia bila kujuwa familia ya jirani yake inateseka kwa njaa
Tanzania punguzeni tamaa
 
Nchi yetu mambo mengi tunayafanya kienyeji,jambo la kuwa serious tunalichukulia poa kama watu wa Bongo movie tu
 
Viongozi wengi wa Tanzania wana njaa kali.
 
Kuna roho inaniambia ni sawa. Na kuna nyingine inaniambia siyo sawa.

Anyway, sipingani na kucheleweshewa pesa ila napinga katakata watu kufukuzwa wakati wamehudhuria semina zaidi ya wiki.
Wanafukuzwa kwa nini
 
dah wilayani kwangu kama nawaona vile watakavyodata wasipolipwa maana saa kumi na mbili na nusu watu wanaburuza miguu kwenda shule x kufanya semina yao ikifika jioni saa kumi na mbili wanaburuza tena miguu kirudi kwenye mapango yao na ukipishana nao wanakuona kama kapuku flani usie na kazi wao ndio wanakula mema ya nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…