Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Wewe uoni wanavokaanga Kodi zetu kupambana na CHADEMA kuliko kupambana na umasikini nchiniChadema sio chama tawala ila ccm na matawi yake wanakiogopa kama moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uoni wanavokaanga Kodi zetu kupambana na CHADEMA kuliko kupambana na umasikini nchiniChadema sio chama tawala ila ccm na matawi yake wanakiogopa kama moto
Umeelewa ulichokinukuu ?We uoni wanavokaanga Kodi zetu kupambana na CHADEMA kuliko kupambana na umasikini nchini
Dah sijui itakuajeChadema sisi hatushiriki Uchaguzi tumekosa mvuto
Dah sijui itakuaje
NaamTunamuogopa Rais Magufuli atatugaragaza
Baraka haziji kama upepo .MUNGU ibariki nccr mageuzi
Hahahaha takataka za chadema hujawahi zisikia Jomba hata zile wanazozungumza wabunge wenu wanaohama..? Hebu fuatilia then uje na majibu sahihiChadema (wananchi) against takataka za Ccm na ccm yenyewe
Ukiendelea kuandika ujinga Ignore option itakuhusuHahahaha takataka za chadema hujawahi zisikia Jomba hata zile wanazozungumza wabunge wenu wanaohama..? Hebu fuatlia then uje na majibu sahihi
Si afadhali ya kirusi unaweza pona kama kirusi cha Corona. Sasa hiyo saccos ya chadema mtatokaje hapo Jomba.Dalili ya mvua ni mawingu. TLP, NCCR, CUF, kwa sasa siyo vyama. Ni VIRUSI
Naam hii sindano imekuingia pale pale Kati sawia kabisa..Ukiendelea kuandika ujinga Ignore option itakuhusu
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Weka kumbukumbu ya maneno yako tutakuuliza tena mwezi DisembaCCM, NCCR, CUF, TLP vs CHADEMA polisi wakiwa likizo CHADEMA anachukua kombe
Case study chaguzi za serikali za mitaaWeka kumbukumbu ya maneno yako tutakuuliza tena mwezi desemba
Mkuu wewe ni Team Mangula au Team Polepole ?bado CHADEMA
Unajidanganya Jomba. Kama huamini basi hata wale wabunge wanaohama wanasema uongo sio. Hata wale mawaziri wakuu wastaafu nao unasemajeMambo haya yataishi siku mjinga yule muda wake wa kukaa ofisini utakapoisha.
Hata hivyo,uzuri wa matukio haya ni kuwafanya wananchi waendelee kuamini kuwa CHADEMA ndio chama pekee cha upinzani kwa sasa.