NCCR-Mageuzi na CHADEMA matokeo ya kuzira yanawadhoofisha

NCCR-Mageuzi na CHADEMA matokeo ya kuzira yanawadhoofisha

Kuwa magerezani kwa wafuasi wa CDM ni suala la kisheria...Mahakama na sheria za nchi pekee ndizo zina haki ya kuamua hatma
Acha kujitoa ufahamu, aliyewashtaki ni DPP ambaye ni serikali na anaruhusiwa kuondoa mashtaka yake hata kama yapo mahakamani tayari. Katiba yetu haijaipa mahakama uhuru kiasi kwamba shauri likifika huko haliwezi tolewa.

Kukaa chini kungeweza pia kutoa picha na mwanga wa baadhi ya mambo ambayo yangesaidia hizi kezi zisiwepo na hata walio mahabusu kesi zao zisomwe haraka haki itendeke
CHADEMA waliomba kwa barua rasmi kuonana na Rais wakakubaliwa ila Rais hakukutana nao mpaka leo!!

Sasa hamuonani na Rais alafu mwende kujadiliana na msajili wa vyama suala la tume huru? Au Mbowe kuachiwa? Unadhani msajili ana nguvu kisheria kuenforce mabadiliko wanayotaka CHADEMA?

Walitaka closed door meeting ili kuwe na mwanzo mzuri sasa Rais anakataa alafu anawaita waje kusikiliza hotuba na kupiga picha then anaondoka? Sasa ndio kina impact gani kikao?
 
Acha kujitoa ufahamu, aliyewashtaki ni DPP ambaye ni serikali na anaruhusiwa kuondoa mashtaka yake hata kama yapo mahakamani tayari. Katiba yetu haijaipa mahakama uhuru kiasi kwamba shauri likifika huko haliwezi tolewa.



CHADEMA waliomba kwa barua rasmi kuonana na Rais wakakubaliwa ila Rais hakukutana nao mpaka leo!!

Sasa hamuonani na Rais alafu mwende kujadiliana na msajili wa vyama suala la tume huru? Au Mbowe kuachiwa? Unadhani msajili ana nguvu kisheria kuenforce mabadiliko wanayotaka CHADEMA?

Walitaka closed door meeting ili kuwe na mwanzo mzuri sasa Rais anakataa alafu anawaita waje kusikiliza hotuba na kupiga picha then anaondoka? Sasa ndio kina impact gani kikao?


Kama DPP ameona shauri lake lina mashiko na lazima haki ipatikane, kwanini aondoe shauri kwa shinikizo la kisiasa...? kama mhimili ambao ni serikali umeona hawa wamevunja sheria za nchi na ni lazima washitakiwe mahakamani, na ndio sehemu haki inapatikana kwanini tuilazimishe serikali itoe shauri lake huku ikijua kuna uvunjaji wa sheria?... lakini ina maana kwakuwa kuna kesi mahakamani basi mambo mengine yasifanyike?

Wapi Rais amekataa kukutana na CDM?, kwanini tusimpe muda na yeye afanye correct timing yake?, ukumbuke unataka kukutana na Rais wa nchi ambaye anawashauri kila kona na wa kila jambo ambao lazima kwanza wanshauri na ndio majibu yatoke...kwanini msiwe na subira, muwe mnatoa reminder....
Kwasababu Rais bado hajakutana na nyie basi ratiba nyingine zife mpaka akutane na nyie?... Kwanini msiitumue platform hiyo hiyo kumremind mkutano wake na nyie...?
 
Kwa nini?
Mabeberu wanaamini katika mazungumzo, ndiyo maana utasikia Trump kakutana na Kim (although hawapendani), Biden kaongea na Xi kwa mtandao masaa 3 (Hawapendani pia), Biden na Putin n.k.! Sasa nyie mnaitwa kwenye kikao (Cha siku 3 tena!!), Rais kawaheshimu kaacha ratiba yake ya leo iliyopangwa muda mrefu (Ilikuwa akafungue kikao cha wakuu wa shule Mlimani City leo), mnagoma kwa sababu za kipuuzi kabisa! Mnyika anasema "Rais anataka tu kukutana na sisi kupiga picha ili awaoneshe mabeberu apewe misaada," kulikuwa na kupiga picha na Rais leo? Haya wenzenu wanaenda kuwa na mazungumzo ya siku 3, yakihudhuriwa na makundi mbalimbali, akiwemo na waziri mwenye dhamana
 
CDM ni chama kikubwa na makini sana. Kuhusu kumwachia mbowe ni suala moja tu - kumwamchia bila masharti yoyote yale sababu hakuna mtanzania anashawishika kwamba Mbowe ni gaidi, ni mchongo wa CCM na Serikali yake kujaribu kumdhoofisha yeye na chama anachokiongoza.
 
Eti wamezira ,sababu kubwa walitaka waende peke yao au walitaka yule wanaemuona adui yao yeye asiwepo(ccm)au walitaka afungwe mikono na miguu ndio waende,au wapewe upendeleo wakupigiwa magoti ndio waende,au kwasababu mbowe yupo segerea,,yalaaa,,wakati mwingine walihisi kwamba ni mkutano wa rais kwa hiyo wao ni wasikilizaji tu,sio kweli,mnaikosea heshima demokrasia,na mnajinyima nafasi ya kutoa ya moyoni ,huo ni uoga wa kiwango Cha juu Sana watu wazima hawakimbii mapambano Bali wanafia kwenye uwanja wa Vita mechi ya nyumbani chezeni lakini pia msiogope mechi za ugenini💘
Kuna zaidi ya vyama kumi mkutanoni. Kuna chama kinachoshiriki kuunda Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kuna chama kina mbunge kutoka bara, kuna chama ambacho kiongozi wake ni Mkuu wa Mkoa. Wote hao mnawadharau mnawashupalia ambao hawapo? Kuna siku mbili za kujadili kistaarabu yaliyowaleta. Jadilini na mkimaliza mtatueleza. Hao ambao hawapo hawawahusu.

Amandla...
 
Kama DPP ameona shauri lake lina mashiko na lazima haki ipatikane, kwanini aondoe shauri kwa shinikizo la kisiasa...? kama mhimili ambao ni serikali umeona hawa wamevunja sheria za nchi na ni lazima washitakiwe mahakamani, na ndio sehemu haki inapatikana kwanini tuilazimishe serikali itoe shauri lake huku ikijua kuna uvunjaji wa sheria?... lakini ina maana kwakuwa kuna kesi mahakamani basi mambo mengine yasifanyike?
Kesi ya Akwilina ilikua ya kisiasa, na umeona hadi pesa iliamuriwa warudishwe na hukumu ya kifungo ikafutwa. Same to kesi ya Mdude, Kesi za Lissu zote zimefutwa, sasa kama hizo zote serikali na DPP walikiri ni za kisiasa ndio maana wamezifuta kipi kinakufanya usione DPP anapaswa kuifuta na hii? Huwezi fanya ugaidi alafu ukamatwe muda unaodai katiba, hakuna serikali dhaifu kiasi hiko na ndio maana mama kaongelea kuhusu heshima!! Ina maana alikosewa heshima ndio maana kamtia adabu Mbowe!! Siku akiachiwa usije jificha tu.
Wapi Rais amekataa kukutana na CDM?, kwanini tusimpe muda na yeye afanye correct timing yake?, ukumbuke unataka kukutana na Rais wa nchi ambaye anawashauri kila kona na wa kila jambo ambao lazima kwanza wanshauri na ndio majibu yatoke...kwanini msiwe na subira, muwe mnatoa reminder....
Kwasababu Rais bado hajakutana na nyie basi ratiba nyingine zife mpaka akutane na nyie?... Kwanini msiitumue platform hiyo hiyo kumremind mkutano wake na nyie...?
Acha utani, kwamba Rais aliona kuwa na dialogue na upinzani ije baadae ila mkutano wa msajili na vyama ndio aje kutoa hotuba na kupiga picha?? Alikutana na makundi karibu yote zile wiki za kwanza except vyama vya siasa!! Kinyume kabisa na pledge yake siku anajibu barua ya CHADEMA.

Kubali kwamba Rais alipuuzia wito wa CHADEMA sasa kwa mazingiara hayo huwezi kubali kuja kusikiliza hotuba wakati kulikua na better option ya majadiliano ya ana kwa ana na Rais tokea mwezi wa 4!!
 
Mabeberu wanaamini katika mazungumzo, ndiyo maana utasikia Trump kakutana na Kim (although hawapendani), Biden kaongea na Xi kwa mtandao masaa 3 (Hawapendani pia), Biden na Putin n.k.! Sasa nyie mnaitwa kwenye kikao (Cha siku 3 tena!!), Rais kawaheshimu kaacha ratiba yake ya leo iliyopangwa muda mrefu (Ilikuwa akafungue kikao cha wakuu wa shule Mlimani City leo), mnagoma kwa sababu za kipuuzi kabisa! Mnyika anasema "Rais anataka tu kukutana na sisi kupiga picha ili awaoneshe mabeberu apewe misaada," kulikuwa na kupiga picha na Rais leo? Haya wenzenu wanaenda kuwa na mazungumzo ya siku 3, yakihudhuriwa na makundi mbalimbali, akiwemo na waziri mwenye dhamana
Unaelewa tofauti ya mazungumzo na kuhutubiana?
Unaelewa tofauti ya Mkutano wa moja wa mataifa na ule wa Trump na Kim?
 
Unaelewa tofauti ya mazungumzo na kuhutubiana?
Unaelewa tofauti ya Mkutano wa moja wa mataifa na ule wa Trump na Kim?
Ni mazungumzo ya siku tatu Chief, ya wadau wa vyama vya siasa na demokrasia!! Rais alialikwa kufungua tu, na amesema kabisa baada ya leo sasa yupo tayari kukutana kwenye lile lingine
 
Chadema hawahitaji mazungumzo na hao wengine wanaoitwa wadau wa demokrasia. Wao wanahitaji Mazungumzo na Serikali ya Chama cha Mapinduzi tu.
Ni mazungumzo ya siku tatu Chief, ya wadau wa vyama vya siasa na demokrasia!! Rais alialikwa kufungua tu, na amesema kabisa baada ya leo sasa yupo tayari kukutana kwenye lile lingine
 
Chadema akiri kubwa huwezi kuwaelewa! Ccm yenyewe ilisikia chadema inachanganyokiwa Mana wakizubaa tu dola linachukuliwa m Hana kweupe. Zitto Hana madhara yoyote wameamua wamtumie to kuproove wrong chadema. Lakini chadema Ni Moto wa kuotea mbali ndo Mana hata jpm alizuia mikutano ya hadhara kwa kuihofia chadema

chadema hachukui nchi hata miaka 100 nyinnyi ni wabaguzi sana
 
Eti wamezira ,sababu kubwa walitaka waende peke yao au walitaka yule wanaemuona adui yao yeye asiwepo(ccm)au walitaka afungwe mikono na miguu ndio waende,au wapewe upendeleo wakupigiwa magoti ndio waende,au kwasababu mbowe yupo segerea,,yalaaa,,wakati mwingine walihisi kwamba ni mkutano wa rais kwa hiyo wao ni wasikilizaji tu,sio kweli,mnaikosea heshima demokrasia,na mnajinyima nafasi ya kutoa ya moyoni ,huo ni uoga wa kiwango Cha juu Sana watu wazima hawakimbii mapambano Bali wanafia kwenye uwanja wa Vita mechi ya nyumbani chezeni lakini pia msiogope mechi za ugenini💘
Wana mamia ya wafuasi wao wako magerezani kwa kesi za kubumba, waacheni wapambane nazo si mkutano umefanyika? tatizo nini tena?
 
Sasa kama NCCR na CHADEMA kudhoofika kunawaudhi CCM basi hapo kuna jambo...
Eti wamezira ,sababu kubwa walitaka waende peke yao au walitaka yule wanaemuona adui yao yeye asiwepo(ccm)au walitaka afungwe mikono na miguu ndio waende,au wapewe upendeleo wakupigiwa magoti ndio waende,au kwasababu mbowe yupo segerea,,yalaaa,,wakati mwingine walihisi kwamba ni mkutano wa rais kwa hiyo wao ni wasikilizaji tu,sio kweli,mnaikosea heshima demokrasia,na mnajinyima nafasi ya kutoa ya moyoni ,huo ni uoga wa kiwango Cha juu Sana watu wazima hawakimbii mapambano Bali wanafia kwenye uwanja wa Vita mechi ya nyumbani chezeni lakini pia msiogope mechi za ugenini💘
 
kwa akili yako unaona ni sawa kuandaa mkutano wa wadau wa siasa halafu miongoni mwao mmoja yeye anahudhuria kama mgeni wa heshima kuhutubia na kupiga picha kisha anaondoka akiwaacha wengine waendele na huo mkutano Kisha watakachojadili wampelekee akakipitie.
kutokuhudhuria kwa CDM ni kutokana na mambo 3 ambayo hawayakubali
1. kesi na wafungwa wa kisiasa waachiwe
2.kuruhusiwa mikutano na shughuli za kisiasa kwa vyama vyote
 
Umesema ukweli hamwezi kupuuza polical dialogue mksema ninyi ni mkijiita wapinzani wa kweli mnachokitaka hamtaki kukisema hicho ni kitu gani au ndiyo ugaidi wenyewe upinzani siyo kuchukiana kwa kila jambo alichokifanya zitto hatua kubwa katika siasa za upinzani Tanzania
 
Back
Top Bottom