NCCR-mageuzi wafunika kwa WARIOBA(tume ya katiba)

NCCR-mageuzi wafunika kwa WARIOBA(tume ya katiba)

Kisandu kiana umefanikisha dhamira yako ya kuuza nyago. Kiaina unajulikana ila sidhan kama utafika mbali.
 
Ndio ujuwe kwamba Chadema vimesheheni vichwa, kwanza Tundu Lisu peke yake alikuwa anatosha kabisa ndio maana unaona Dr Slaa ameamuwa afanye majukumu mengine.

Kama yapi huku mwenyekiti wake yupo pale au Katibu siyo sec wake? Nafikiri ilikuwa zamu yake ya kulea mtoto.
 
@Deogratius Kisandu napenda kujua msimamo wako kuhusu mgeni ndani ya chama kupewa nafasi ya kushiriki jambo flani ndani ya chama hili hali kuna wenyeji wameachwa.
Nimekuuliza swali hili kwa sababu kati ya malalamiko yako kuhusu CHADEMA ni kuwa kuna wageni kutoka ccm walikua wakishirikishwa kwenye shuhuli za chama (ie James Milya in M4C) na wenyeji mkawa mnaachwa, sasa wewe hujamaliza hata wiki mbili ndani ya NCCR ila umeshirikishwa katika jambo la kita na ukweli ni kuwa kuna wenyeji wengi tu hawakupata nafasi ya kushiriki.
cc to Dr.W.Slaa
 
Kama yapi huku mwenyekiti wake yupo pale au Katibu siyo sec wake? Nafikiri ilikuwa zamu yake ya kulea mtoto.
Zitto Kabwe ni msaidizi wa Dr Slaa na yupo hapo unless unieleze hujui maana ya Naibu katibu Mkuu. huna hoja.
 
Tatizo la wasomi baadh hapa tanzania walopata nafasi ya kuonekana ni kutokujua kujenga hoja makini,sasa bwana kisandu umeandika nini sasa hii
 
Leo NCCR-mageuzi tulipeleka rasimu ya Katiba kwa Tume ya mabadiliko ya katiba saa 7 mchana, msafara uliongozwa na mwenyekiti wa chama na mimi kama mjumbe nikiwa ndani ya msafara. Huku wanafata utaratibu wa wote kushiriki mambo si walewale kila siku.

wewe na mwenyekiti wako wote ni majuha, mwenyekiti anadai si lazima katiba ipaikane kabla ya 2014 kumbe chama tayari kina rasimu ya katiba kibindoni huu ni uchizi.
 
Zitto Kabwe ni msaidizi wa Dr Slaa na yupo hapo unless unieleze hujui maana ya Naibu katibu Mkuu. huna hoja.
Usitake kudanganya umma wa JF mbona hajawahi kukaimu madaraka siku zote anamwachia kiti John Mnyika au yuko radhi afunge ofisi.
 
Usitake kudanganya umma wa JF mbona hajawahi kukaimu madaraka siku zote anamwachia kiti John Mnyika au yuko radhi afunge ofisi.
Sina muda wa kubishana na Alikwina, labda utueleze wewe Zitto ni nani Chadema?
 
Jiandae kuwapokea wanachama wapya!! Fagio limeshapita huku yaani kimenuka!! Muulize kafulila ana mpango wa kuhamia wapi? Hapo yupo kwa nguvu ya mahakama kwa sababu ya tabia za ajabu ajabu kama zenu!
 
Kama mtu Kilaza kama wewe Mbatia anakushirikisha kwenye swala sensitive kama la katiba basi NCCR imeoza. Chadema hakuna mbulula kama wewe wa kushirikishwa kwenye jambo sensitive kama hili.

Ona timu ya Chadema ikielekea kutoa maoni yao ya katiba.

299559_406194889455306_356635488_n.jpg
TIMU makini sana hiii naipenda...
 
Leo NCCR-mageuzi tulipeleka rasimu ya Katiba kwa Tume ya mabadiliko ya katiba saa 7 mchana, msafara uliongozwa na mwenyekiti wa chama na mimi kama mjumbe nikiwa ndani ya msafara. Huku wanafata utaratibu wa wote kushiriki mambo si walewale kila siku.
Mkuu hebu acha utoto, sasa ume-post nini hiki?
 
Leo NCCR-mageuzi tulipeleka rasimu ya Katiba kwa Tume ya mabadiliko ya katiba saa 7 mchana, msafara uliongozwa na mwenyekiti wa chama na mimi kama mjumbe nikiwa ndani ya msafara. Huku wanafata utaratibu wa wote kushiriki mambo si walewale kila siku.

Noana kama vile unajidharirisha kwa sababu hakuna point ya maana hapo uliyoandika,huyu jamaa hata sijui huko CHADEMA uongozi alipata vipi,ulitakiwa kuja na mambo ya maana ikiwezekana kunukuu baadhi ya hayo mambo ambayo mmewakirisha kwa warioba.Shida sanaa nchi aiwezi kuendelea kwa wasomi wenye uwezo mdogo kama wako.
 
haya kaka ndo umeanza kuganga njaa kwa style hiyo?basi omba huko nako wakupe ugombee urais.
 
ujue hicho sio chma bali ni genge tuu ndo mana umeingia juzi tuu leo wewe ni mjumbe.watch out.
 
Back
Top Bottom