Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,122
Namtamua DR,Rais wa Zanzibar msomi mkubwa na kiongozi mwenye hekima.Nina uhakika unatambua majukumu ya kiongozi wa nchi.Haya sasa turudi upande wa pili wa shilingi.Kama ulikuwa humju makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, ni huyu hapa.
![]()


