NCCR-mageuzi wafunika kwa WARIOBA(tume ya katiba)

NCCR-mageuzi wafunika kwa WARIOBA(tume ya katiba)

Leo NCCR-mageuzi tulipeleka rasimu ya Katiba kwa Tume ya mabadiliko ya katiba saa 7 mchana, msafara uliongozwa na mwenyekiti wa chama na mimi kama mjumbe nikiwa ndani ya msafara. Huku wanafata utaratibu wa wote kushiriki mambo si walewale kila siku.

Unajua wakati niliposikia unaondoka CHADEMA nilisikitika sana, na nilisikitika kwasababu nilikuwa sikufahamu sana. Ila kwa hoja hii, nashukuru sana kwa wewe kuondoka CHADEMA, ulikuwa ni zigo tena zigo la misumari. Hoja kama hii haiwezi kuletwa na kijana ambaye ni great thinker mwenye uwezo wa kutafakari kwa kina. Hii hoja inafaa kuletwa na mtu ambaye hata hajakanyaga std one. Very stupid post, na kama kwa mpango huu ndio unadhani wewe ni kiongozi kweli hii nchi imefilisika. Niwashauri vijana wa kitanzania, na hasa nyie mnaojifanya wana-siasa wakati ni wachumia tumbo. Nendeni kasomeni namna ya kufanya tafakari ya kina, na kutoa hoja. Ama sivyo, mnatutia aibu vijana wengine ambao tupo nyuma yenu.
 
hahahahaha jamani huyu jamaa kumbe kahamia huku tena looh vijana cyo lazima wote tufanye siasa jamani. Tanzania haitajengwa kwa siasa pekee
 
Yaani huyu ndo aliejitangaza kugombea uraici..? Na kubwabwaja hadharani kuwa tamko lake la kutangaza nia ya kugombea uraici limemfanya achukiwe na viongozi Chadema..!
 
Kweli huyu hata ufahamu wake sijui uko wapi na pengine labda siasa hizi ameingia kwa pupa sana kweli ni geugeu sana huyu jamaa
 
Angalia na huko usiende kuwavuruga maana tunajua wewe sio mpinzani wewe ni wa magamba. Angalia makamanda angalia lissu kabeba vitabu vingapi? au Mnyika naye kabeba vingapi Mr Chair kabeba nini na Zito? Sasa tuambie nyie nasikia mlienda na cm tu na kazi yako wewe ulikuwa facebook unachat na demu wako
 
Back
Top Bottom