Namtamua DR,Rais wa Zanzibar msomi mkubwa na kiongozi mwenye hekima.Nina uhakika unatambua majukumu ya kiongozi wa nchi.Haya sasa turudi upande wa pili wa shilingi.Kama ulikuwa humju makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, ni huyu hapa.
Ndio ujuwe kwamba Chadema vimesheheni vichwa, kwanza Tundu Lisu peke yake alikuwa anatosha kabisa ndio maana unaona Dr Slaa ameamuwa afanye majukumu mengine.
Leo NCCR-mageuzi tulipeleka rasimu ya Katiba kwa Tume ya mabadiliko ya katiba saa 7 mchana, msafara uliongozwa na mwenyekiti wa chama na mimi kama mjumbe nikiwa ndani ya msafara. Huku wanafata utaratibu wa wote kushiriki mambo si walewale kila siku.
Kama mtu Kilaza kama wewe Mbatia anakushirikisha kwenye swala sensitive kama la katiba basi NCCR imeoza. Chadema hakuna mbulula kama wewe wa kushirikishwa kwenye jambo sensitive kama hili.
Ona timu ya Chadema ikielekea kutoa maoni yao ya katiba.
Timu imekamilika. CDM kuwa na umoja ni moja ya mambo usiyoyapenda ndg Kisandu.Najiuliza, hivi wale wa kaskazini ambao huwapendi. Hawakuwepo ktk msafara wa NCCR....?????????????Ama ndio unapanga mbinu nyingine ya kuwachafua.Kama mtu Kilaza kama wewe Mbatia anakushirikisha kwenye swala sensitive kama la katiba basi NCCR imeoza. Chadema hakuna mbulula kama wewe wa kushirikishwa kwenye jambo sensitive kama hili.
Ona timu ya Chadema ikielekea kutoa maoni yao ya katiba.
Kama mtu Kilaza kama wewe Mbatia anakushirikisha kwenye swala sensitive kama la katiba basi NCCR imeoza. Chadema hakuna mbulula kama wewe wa kushirikishwa kwenye jambo sensitive kama hili.
Ona timu ya Chadema ikielekea kutoa maoni yao ya katiba.
Kama mtu Kilaza kama
wewe Mbatia anakushirikisha kwenye swala sensitive kama la katiba basi
NCCR imeoza. Chadema hakuna mbulula kama wewe wa kushirikishwa kwenye
jambo sensitive kama hili.
Ona timu ya Chadema ikielekea kutoa maoni yao ya katiba.
Amekwenda kula ubwabwa wa hitima ya marehemu CCM.mbona PADRI SLAA SIMUONI....au macho yangu hayaoni vizuri
Wewe kweli mtu wa ajabu.Wewe si ndiyo ulikuwa unalalamika kwamba wageni wanaojiunga Chadema wanapewa kipaumbele?
Wewe una siku 2 tangu ujiunge na NCCR halafu umeteuliwa kuwakilisha chama wakati wapo wakongwe kibao ndani ya chama.Halafu bila aibu unakuja hapa kujisifu.
Leo nimeamini mnafiki njia yake ni fupi sana.Yaani umejiumbua hata kabla wino uliotumia kuandika maandishi yako haujakauka.
FIFPRO XI: Iker Casillas (Real Madrid and Spain); Dani Alves (Barcelona and Brazil), Gerard Pique (Barcelona and Spain), Sergio Ramos (Real Madrid and Spain), Marcelo (Real Madrid and Brazil); Xabi Alonso (Real Madrid and Spain), Xavi Hernandez (Barcelona and Spain), Andres Iniesta (Barcelona and Spain); Lionel Messi (Barcelona and Argentina), Radamel Falcao (Atletico Madrid and Colombia), Cristiano Ronaldo (Real Madrid and Portugal).
Ndio ujuwe kwamba
Chadema vimesheheni vichwa, kwanza Tundu Lisu peke yake alikuwa anatosha
kabisa ndio maana unaona Dr Slaa ameamuwa afanye majukumu
mengine.
Tehe tehe tehe.
Akirudi hapa tena kwa comment yako hii jamaa hana mishipa ya haya wala
kujifunza. Wacha umma ujionee. Yako mambo yangesemwa, watu wangesema
aaah kwa sababu kaondoka.
Siku nyingine usipende kuweka kisu chako kwenye mfupa wa mwenzio namna
hiyo. Vibaya. Tehe tehe tehe.
Tehe tehe tehe. Akirudi hapa tena kwa comment yako hii jamaa hana mishipa ya haya wala kujifunza. Wacha umma ujionee. Yako mambo yangesemwa, watu wangesema aaah kwa sababu kaondoka.
Siku nyingine usipende kuweka kisu chako kwenye mfupa wa mwenzio namna hiyo. Vibaya. Tehe tehe tehe.
mbona PADRI SLAA SIMUONI....au macho yangu hayaoni vizuri
Usimshangae uchu wa madaraka huo mwana JF! WEWE fikiria mtu hafahamiki popote zaidi ya hapa JF anatangaza kugombea urais sasa na huko sijui napo anagombea au kazira?shame on you Kisanduku!Wewe kweli mtu wa ajabu.Wewe si ndiyo ulikuwa unalalamika kwamba wageni wanaojiunga Chadema wanapewa kipaumbele?
Wewe una siku 2 tangu ujiunge na NCCR halafu umeteuliwa kuwakilisha chama wakati wapo wakongwe kibao ndani ya chama.Halafu bila aibu unakuja hapa kujisifu.
Leo nimeamini mnafiki njia yake ni fupi sana.Yaani umejiumbua hata kabla wino uliotumia kuandika maandishi yako haujakauka.