'Ncha ya Ulimi wa Rais Samia' : CHADEMA hawataki, wataweza 'ncha ya upanga'?

'Ncha ya Ulimi wa Rais Samia' : CHADEMA hawataki, wataweza 'ncha ya upanga'?

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Soo jana, Rais Samia Suluhu alisema kwamba zamani muafaka katika siasa ulikuwa unafikiwa kwa kutumia ncha ya upanga lakni hivi sasa muafaka unatumiwa kwa ncha ya ULIMI.

Alichokuwa anamaanisha ni kwamba zamani watu walitumia vitisho, mapigano na vita kupata walichokitaka, lakini hivi sasa watu wanapaswa kutumia mazungumzo na maridhano.

Alitolea mfano wa Zanzibar ya mwaka 2001, watu walipigana wakauwana lakini hawakupata walichokitaka. Walitumia mazungumzo wakapata muafaka.

Hilo hakuwa anazungumzia jambo la kesi ya Mbowe pekee, aliongele umoja as in the whole nation. 'Ncha ya Ulimi wa Samia' ilithibitika kupitia baadhi ya maneno yake ambayo tunaweza kuyaquote hapa chini:

1. “Tunapokwenda kuzungumza na hatukukubaliana, baasi tupingane kwa hoja. Tupingane kwa hoja za kizalendo zenye kuongozwa na uhalisia wetu kiutamaduni, uhalisia wetu kijamii, na uhalisia wetu kiuchumi.” Rais Samia Suluhu.

2. “Nadhani mnaona huko kwenye mitandao watu wanabishana, kuna mambo yanalazimishwa yawe, hayaendi na utamaduni wa Kitanzania. Au saa nyingine viongozi wa vyama vya siasa watataka mambo ambayo kwa uchumi wa Tanzania hatuwezi.” Rais Samia Suluhu

3. "Tuzungumze tufikie maridhiano, ya kuzizika tofauti zetu. Hili ndio lengo langu. Sisi ni Taifa moja, wala hakuna mwenye cheti akasema mimi nina cheti cha kuimiliki Tanzania, hakuna. Wote ni Watanzania.” Rais Samia Suluhu

4. “Nikuombeni Wenyeviti wenzangu wa vyama vya siasa, tusitazame yaliyopita. Tutazame mbele kwa matumaini. Tuweke nguvu yetu pamoja kujenga Tanzania mpya, yenye kusameheana, yenye kuheshimiana na kufungua kurasa mpya za kwenda demokrasia yetu” Rais Samia Suluhu

5. “Kama mlezi natakiwa kuwa mvumilivu, msikivu na mwenye kusamehe. Na niko tayari kufanya yote haya. Nitasikiliza, nitavumilia mnayoniambia, mnayonikosoa, na niko tayari kusamehe pia ili tuende vyema” Rais Samia Suluhu

Such quotes, are enough kuonesha kwamba Rais huyu yuko tayari sana kutumia ncha ya ulimi, anashaurika, anataka kushauriana.

On the other hand, CHADEMA wanasisitiza kwamba wao hawataki "MARIDHIANO". Hebu waulizwe wanataka nini? Kama hawataki 'Ncha ya Ulimi' itumike ina maaana wanataka 'Ncha ya Upanga'. Wanataka nchi isiwe na amani, wanataka machafuko. WATAWEZA? Kwa nini wanaamini katika kufarakana?

MWISHO: Kesi ya Mbowe is just one issue, maridhiano yana sura pana sana. These people wanaojitapa kwamba hawataki maridhiano na mambo kumalizwa kwa kujadiliana, NI WATU WABAYA. TUWAKATAE
 
Soo jana, Rais Samia Suluhu alisema kwamba zamani muafaka katika siasa ulikuwa unafikiwa kwa kutumia ncha ya upanga lakni hivi sasa muafaka unatumiwa kwa ncha ya ULIMI.

Alichokuwa anamaanisha ni kwamba zamani watu walitumia vitisho, mapigano na vita kupata walichokitaka, lakini hivi sasa watu wanapaswa kutumia mazungumzo na maridhano.

Alitolea mfano wa Zanzibar ya mwaka 2001, watu walipigana wakauwana lakini hawakupata walichokitaka. Walitumia mazungumzo wakapata muafaka.

Hilo hakuwa anazungumzia jambo la kesi ya Mbowe pekee, aliongele umoja as in the whole nation. 'Ncha ya Ulimi wa Samia' ilithibitika kupitia baadhi ya maneno yake ambayo tunaweza kuyaquote hapa chini:

1. “Tunapokwenda kuzungumza na hatukukubaliana, baasi tupingane kwa hoja. Tupingane kwa hoja za kizalendo zenye kuongozwa na uhalisia wetu kiutamaduni, uhalisia wetu kijamii, na uhalisia wetu kiuchumi.” Rais Samia Suluhu.

2. “Nadhani mnaona huko kwenye mitandao watu wanabishana, kuna mambo yanalazimishwa yawe, hayaendi na utamaduni wa Kitanzania. Au saa nyingine viongozi wa vyama vya siasa watataka mambo ambayo kwa uchumi wa Tanzania hatuwezi.” Rais Samia Suluhu

3. "Tuzungumze tufikie maridhiano, ya kuzizika tofauti zetu. Hili ndio lengo langu. Sisi ni Taifa moja, wala hakuna mwenye cheti akasema mimi nina cheti cha kuimiliki Tanzania, hakuna. Wote ni Watanzania.” Rais Samia Suluhu

4. “Nikuombeni Wenyeviti wenzangu wa vyama vya siasa, tusitazame yaliyopita. Tutazame mbele kwa matumaini. Tuweke nguvu yetu pamoja kujenga Tanzania mpya, yenye kusameheana, yenye kuheshimiana na kufungua kurasa mpya za kwenda demokrasia yetu” Rais Samia Suluhu

5. “Kama mlezi natakiwa kuwa mvumilivu, msikivu na mwenye kusamehe. Na niko tayari kufanya yote haya. Nitasikiliza, nitavumilia mnayoniambia, mnayonikosoa, na niko tayari kusamehe pia ili tuende vyema” Rais Samia Suluhu

Such quotes, are enough kuonesha kwamba Rais huyu yuko tayari sana kutumia ncha ya ulimi, anashaurika, anataka kushauriana.

On the other hand, CHADEMA wanasisitiza kwamba wao hawataki "MARIDHIANO". Hebu waulizwe wanataka nini? Kama hawataki 'Ncha ya Ulimi' itumike ina maaana wanataka 'Ncha ya Upanga'. Wanataka nchi isiwe na amani, wanataka machafuko. WATAWEZA? Kwa nini wanaamini katika kufarakana?

MWISHO: Kesi ya Mbowe is just one issue, maridhiano yana sura pana sana. These people wanaojitapa kwamba hawataki maridhiano na mambo kumalizwa kwa kujadiliana, NI WATU WABAYA. TUWAKATAE
Umeanza vizuri ila hapa mwisho umevurunda Kwa kuingiza unaa, kesi yenyewe ni ya kubumba una kubali unakataa, sawa ameshanyanyaswa , kuonewa yeye na viongozi na wanachana, wamejaa magerezani , tungeanzia hapo , hayo maridhiano yangekuwa na maana. Au wewe ni timu badluck&co waliojulikana au timu wasiojulikana na bambikizi🤔.
 
Wataweza wapi? Mshike mshike wa JPM wa miaka 3 tu wengi wao wakakimbia nchi, walioshindwa kukimbia nchi wakakimbilia vijijini kulima na kufuga
Sema walikimbizwa na mvua ya risasi, ila wengine walivyunjwa miguu wakaendelea kukomaa dawa ikaonekana ni kuwa kuwahifadhi Kwa muda, achilia waliowindwa kama swala, kwanini wasijifiche, fisi na Simba wasiwaone🏃.
 
Sema walikimbizwa na mvua ya risasi, ila wengine walivyunjwa miguu wakaendelea kukomaa dawa ikaonekana ni kuwa kuwahifadhi Kwa muda, achilia waliowindwa kama swala, kwanini wasijifiche, fisi na Simba wasiwaone🏃.
Sasa kama watu hawataki "ncha ya ulimi" na wanaleta vurugu unataka Serikali ifanye nini? Iwachekee wakati wanawachanganya wananchi na kuwajaza uongo?
 
I don't have a Side... Lakini Kuna Mazungumzo ya Watu Kusikilizana na Kuna Mazungumzo ya kuambiwa..., Yaani My Way or the High Way..., Yaani chochote kinachozungumzwa makubaliano ni pale tu utakapokubali ninachosema....
 
Sasa kama watu hawataki "ncha ya ulimi" na wanaleta vurugu unataka Serikali ifanye nini? Iwachekee wakati wanawachanganya wananchi na kuwajaza uongo?
Badili jina Ili ufanane maneno na mitazamo Yako ungeipenda tz usingekuwa na mitazamo ya aina hii, Ile ungekuwa mkweli wa Hali halisi ilivyo ndani ya taifa letu.
 
Badili jina Ili ufanane maneno na mitazamo Yako ungeipenda tz usingekuwa na mitazamo ya aona hii, Ile ungekuwa mkweli was Hali halisi ilivyo ndani ya taifa letu.
Kwako wewe kuipenda TZ ni kumpenda Lissu na Lema na kumchukia Samia na Majaliwa!!! Umepotoka sana Chief, wewe wapende hao watu wako nami nitawapenda wale niwapendao!
 
Chadema ndio walikuwa wa kwanza kuyataka maridhiano, mkawapuuza, mkaendeleza uhuni zaidi dhidi yao kwa kumuweka ndani kiongozi wao kwa kutetea haki yake kidemokrasia.

Leo mnawataka waje mkae chini muongee nao wakati kiongozi wao bado mnamshikilia kwa maagizo ya ikulu, fuateni sheria za nchi Chadema haitawasumbua.
 
Kwako wewe kuipenda TZ ni kumpenda Lissu na Lema na kumchukia Samia na Majaliwa!!! Umepotoka sana Chief, wewe wapende hao watu wako nami nitawapenda wale niwapendao!
Mwendelezo wa mitazamo Yako iliyotenge.
 
Soo jana, Rais Samia Suluhu alisema kwamba zamani muafaka katika siasa ulikuwa unafikiwa kwa kutumia ncha ya upanga lakni hivi sasa muafaka unatumiwa kwa ncha ya ULIMI.

Alichokuwa anamaanisha ni kwamba zamani watu walitumia vitisho, mapigano na vita kupata walichokitaka, lakini hivi sasa watu wanapaswa kutumia mazungumzo na maridhano.

Alitolea mfano wa Zanzibar ya mwaka 2001, watu walipigana wakauwana lakini hawakupata walichokitaka. Walitumia mazungumzo wakapata muafaka.

Hilo hakuwa anazungumzia jambo la kesi ya Mbowe pekee, aliongele umoja as in the whole nation. 'Ncha ya Ulimi wa Samia' ilithibitika kupitia baadhi ya maneno yake ambayo tunaweza kuyaquote hapa chini:

1. “Tunapokwenda kuzungumza na hatukukubaliana, baasi tupingane kwa hoja. Tupingane kwa hoja za kizalendo zenye kuongozwa na uhalisia wetu kiutamaduni, uhalisia wetu kijamii, na uhalisia wetu kiuchumi.” Rais Samia Suluhu.

2. “Nadhani mnaona huko kwenye mitandao watu wanabishana, kuna mambo yanalazimishwa yawe, hayaendi na utamaduni wa Kitanzania. Au saa nyingine viongozi wa vyama vya siasa watataka mambo ambayo kwa uchumi wa Tanzania hatuwezi.” Rais Samia Suluhu

3. "Tuzungumze tufikie maridhiano, ya kuzizika tofauti zetu. Hili ndio lengo langu. Sisi ni Taifa moja, wala hakuna mwenye cheti akasema mimi nina cheti cha kuimiliki Tanzania, hakuna. Wote ni Watanzania.” Rais Samia Suluhu

4. “Nikuombeni Wenyeviti wenzangu wa vyama vya siasa, tusitazame yaliyopita. Tutazame mbele kwa matumaini. Tuweke nguvu yetu pamoja kujenga Tanzania mpya, yenye kusameheana, yenye kuheshimiana na kufungua kurasa mpya za kwenda demokrasia yetu” Rais Samia Suluhu

5. “Kama mlezi natakiwa kuwa mvumilivu, msikivu na mwenye kusamehe. Na niko tayari kufanya yote haya. Nitasikiliza, nitavumilia mnayoniambia, mnayonikosoa, na niko tayari kusamehe pia ili tuende vyema” Rais Samia Suluhu

Such quotes, are enough kuonesha kwamba Rais huyu yuko tayari sana kutumia ncha ya ulimi, anashaurika, anataka kushauriana.

On the other hand, CHADEMA wanasisitiza kwamba wao hawataki "MARIDHIANO". Hebu waulizwe wanataka nini? Kama hawataki 'Ncha ya Ulimi' itumike ina maaana wanataka 'Ncha ya Upanga'. Wanataka nchi isiwe na amani, wanataka machafuko. WATAWEZA? Kwa nini wanaamini katika kufarakana?

MWISHO: Kesi ya Mbowe is just one issue, maridhiano yana sura pana sana. These people wanaojitapa kwamba hawataki maridhiano na mambo kumalizwa kwa kujadiliana, NI WATU WABAYA. TUWAKATAE
The test of the pudding is in the eating. Majadiliano yatafanyikaje wakati upande mmoja unakataa kuja mezani kama mshiriki mwenza na sio kama mtawala? Utakaaje mezani na aliyekutesa bila yeye angalau kukiri maumivu yako? Zanzibar ACT walikubali kushirikiana na wenzao, wakapewa wizara mbili na umakamu wa Rais. Haukupita muda ujafanyika uchaguzi wakafanyiwa dhulma ile ile. Na juzi wameambiwa hamna kufukua makaburi. Hii ina maana maumivu yote wanayosema kuwa waliyapata wajiuguze wenyewe. Na juzi Katibu Mkuu katiwa mshike mshike. Wao kimya.
Kwenye hili mfano unatakiwa kuonyeshwa na mwenye nguvu kwa kuwaachia wote wenye kesi za kubambikwa, kuzuia vyombo vya dola kufanya mambo kama kuwatia ndani watu wanaofanya jogging, kukiri kuwa kuna mambo yasiyopendeza yalifanyika katika chaguzi za hivi karibuni. Na kukubali kuwa kutofautiana bila mtu kuogopa ndio ishara ya demokrasia iliyo hai.
Huu mpira uko kwa waliopo kwenye madaraka na sio kwa vyama vya upinzani.
Hao mnaosema wanataka vitu kwa ncha ya upanga hawana hata kijiti cha kumtishia mtu. Wao ndio wanaotumia ulimi kutafuta kuungwa mkono na watanzania wenzao.

Amandla...
 
Daaah eti ndiyo mawazo ya vijana wetu haya, hasara tupu... No wonder 60 yrs after independence hata toothpic zinatoka China...
Ikibahatika miaka mingine, sitini Kwa mawazo na weledi huu wakitanzania, bila shaka itakuwa no coloni la watu tayari, kama hatuta badilika kimtazamo .
 
The test of the pudding is in the eating. Majadiliano yatafanyikaje wakati upande mmoja unakataa kuja mezani kama mshiriki mwenza na sio kama mtawala? Utakaaje mezani na aliyekutesa bila yeye angalau kukiri maumivu yako? Zanzibar ACT walikubali kushirikiana na wenzao, wakapewa wizara mbili na umakamu wa Rais. Haukupita muda ujafanyika uchaguzi wakafanyiwa dhulma ile ile. Na juzi wameambiwa hamna kufukua makaburi. Hii ina maana maumivu yote wanayosema kuwa waliyapata wajiuguze wenyewe. Na juzi Katibu Mkuu katiwa mshike mshike. Wao kimya.
Kwenye hili mfano unatakiwa kuonyeshwa na mwenye nguvu kwa kuwaachia wote wenye kesi za kubambikwa, kuzuia vyombo vya dola kufanya mambo kama kuwatia ndani watu wanaofanya jogging, kukiri kuwa kuna mambo yasiyopendeza yalifanyika katika chaguzi za hivi karibuni. Na kukubali kuwa kutofautiana bila mtu kuogopa ndio ishara ya demokrasia iliyo hai.
Huu mpira uko kwa waliopo kwenye madaraka na sio kwa vyama vya upinzani.
Hao mnaosema wanataka vitu kwa ncha ya upanga hawana hata kijiti cha kumtishia mtu. Wao ndio wanaotumia ulimi kutafuta kuungwa mkono na watanzania wenzao.

Amandla...
[emoji1666][emoji1666]
 
Maridhiano ya dhati huwa hayaanzi kwa style kama ile..kwamba upande mmoja ukianza kuomba msamaha kwanza ...unaomba msamaha kwa lipi?

maridhiano ya namna hii hatujawahi kushuhudiwa duniani kote.
 
Soo jana, Rais Samia Suluhu alisema kwamba zamani muafaka katika siasa ulikuwa unafikiwa kwa kutumia ncha ya upanga lakni hivi sasa muafaka unatumiwa kwa ncha ya ULIMI.

Alichokuwa anamaanisha ni kwamba zamani watu walitumia vitisho, mapigano na vita kupata walichokitaka, lakini hivi sasa watu wanapaswa kutumia mazungumzo na maridhano.

Alitolea mfano wa Zanzibar ya mwaka 2001, watu walipigana wakauwana lakini hawakupata walichokitaka. Walitumia mazungumzo wakapata muafaka.

Hilo hakuwa anazungumzia jambo la kesi ya Mbowe pekee, aliongele umoja as in the whole nation. 'Ncha ya Ulimi wa Samia' ilithibitika kupitia baadhi ya maneno yake ambayo tunaweza kuyaquote hapa chini:

1. “Tunapokwenda kuzungumza na hatukukubaliana, baasi tupingane kwa hoja. Tupingane kwa hoja za kizalendo zenye kuongozwa na uhalisia wetu kiutamaduni, uhalisia wetu kijamii, na uhalisia wetu kiuchumi.” Rais Samia Suluhu.

2. “Nadhani mnaona huko kwenye mitandao watu wanabishana, kuna mambo yanalazimishwa yawe, hayaendi na utamaduni wa Kitanzania. Au saa nyingine viongozi wa vyama vya siasa watataka mambo ambayo kwa uchumi wa Tanzania hatuwezi.” Rais Samia Suluhu

3. "Tuzungumze tufikie maridhiano, ya kuzizika tofauti zetu. Hili ndio lengo langu. Sisi ni Taifa moja, wala hakuna mwenye cheti akasema mimi nina cheti cha kuimiliki Tanzania, hakuna. Wote ni Watanzania.” Rais Samia Suluhu

4. “Nikuombeni Wenyeviti wenzangu wa vyama vya siasa, tusitazame yaliyopita. Tutazame mbele kwa matumaini. Tuweke nguvu yetu pamoja kujenga Tanzania mpya, yenye kusameheana, yenye kuheshimiana na kufungua kurasa mpya za kwenda demokrasia yetu” Rais Samia Suluhu

5. “Kama mlezi natakiwa kuwa mvumilivu, msikivu na mwenye kusamehe. Na niko tayari kufanya yote haya. Nitasikiliza, nitavumilia mnayoniambia, mnayonikosoa, na niko tayari kusamehe pia ili tuende vyema” Rais Samia Suluhu

Such quotes, are enough kuonesha kwamba Rais huyu yuko tayari sana kutumia ncha ya ulimi, anashaurika, anataka kushauriana.

On the other hand, CHADEMA wanasisitiza kwamba wao hawataki "MARIDHIANO". Hebu waulizwe wanataka nini? Kama hawataki 'Ncha ya Ulimi' itumike ina maaana wanataka 'Ncha ya Upanga'. Wanataka nchi isiwe na amani, wanataka machafuko. WATAWEZA? Kwa nini wanaamini katika kufarakana?

MWISHO: Kesi ya Mbowe is just one issue, maridhiano yana sura pana sana. These people wanaojitapa kwamba hawataki maridhiano na mambo kumalizwa kwa kujadiliana, NI WATU WABAYA. TUWAKATAE
Kwa nini alimuundia Mbowe kesi ya ugaidi ilhali anajua kuwa Mbowe siyo gaidi? Unanyoosha mkono wa amani huku mkono mwingine uko nyuma umeshikilia upanga? Hatuendi namna hiyo

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
New Member naoma wanaongezeka kwa Kasi kipindi hichi cha sinema za Kiroboto Vs wahuni alafu wanatoa maada ndefu kuliko expert member wazoefu hapa JF. Karibu Sana
 
Back
Top Bottom