'Ncha ya Ulimi wa Rais Samia' : CHADEMA hawataki, wataweza 'ncha ya upanga'?

'Ncha ya Ulimi wa Rais Samia' : CHADEMA hawataki, wataweza 'ncha ya upanga'?

Wataweza wapi? Mshike mshike wa JPM wa miaka 3 tu wengi wao wakakimbia nchi, walioshindwa kukimbia nchi wakakimbilia vijijini kulima na kufuga
Yeye mwenyewe baada ya hayo yote kakimbilia wapi hivi sasa?? Walikokimbilia nje ya nchi na vijijini bado wako hai wanadunda. Yeye yuko wapi??

Soma Hadithi hii kisha jitafakari:

Baada ya mwenye nyumba kuona panya anamaliza nafaka zake, aliamua kununua mtego na akamtega.

Panya lile jambo lilimpa huzuni sana, akapiga mbiu kuwatahadharisha na wengine akina kuku, mbuzi na ng'ombe kuwa waungane kuutegua mtego huo.

Alianza kwa kusema "..Kuna mtego humu ndani, baba mwenye nyumba kaweka mtego jamani.."

Kuku akahoji: "Mtego wa nini?"

Panya: akajibu "ni wa panya"!!

Kuku akasema huo ni mtego wa panya mimi haunihusu.

Ng'ombe na Mbuzi nao walijibu kama kuku alivyojibu kuwa " kwa hiyo we Panya pambana na hali yako kwani huo mtego hautuhusu sisi Bali ni wako"

Basi panya hakupata masaada ilibidi ajihadhari mwenyewe kutokamana na mtego husika.

Usiku mmoja nyoka alipita karibu na ule mtego na kuugusa ndipo akanaswa mkiani.

Mwenye nyumba akajua mhalifu wake ashampata, akapeleka mkono gizani achukue mtego na panya alienaswa, ghafla akang'atwa na yule nyoka.

Mwenye nyumba ilibidi kupelekwa hospitali kwa matibabu, wakati anaendelea na matibabu kuku alichinjwa kwa ajili ya kitoweo cha mgonjwa.

Baadae mwenye nyumba alifariki, mbuzi na ng'ombe walichinjwa ili watu waliokusanyika kwenye ule msiba wapate chakula.

"..Mtego wa panya ulioua ng'ombe, mbuzi na kuku.."
 
Soo jana, Rais Samia Suluhu alisema kwamba zamani muafaka katika siasa ulikuwa unafikiwa kwa kutumia ncha ya upanga lakni hivi sasa muafaka unatumiwa kwa ncha ya ULIMI.

Alichokuwa anamaanisha ni kwamba zamani watu walitumia vitisho, mapigano na vita kupata walichokitaka, lakini hivi sasa watu wanapaswa kutumia mazungumzo na maridhano.

Alitolea mfano wa Zanzibar ya mwaka 2001, watu walipigana wakauwana lakini hawakupata walichokitaka. Walitumia mazungumzo wakapata muafaka.

Hilo hakuwa anazungumzia jambo la kesi ya Mbowe pekee, aliongele umoja as in the whole nation. 'Ncha ya Ulimi wa Samia' ilithibitika kupitia baadhi ya maneno yake ambayo tunaweza kuyaquote hapa chini:

1. “Tunapokwenda kuzungumza na hatukukubaliana, baasi tupingane kwa hoja. Tupingane kwa hoja za kizalendo zenye kuongozwa na uhalisia wetu kiutamaduni, uhalisia wetu kijamii, na uhalisia wetu kiuchumi.” Rais Samia Suluhu.

2. “Nadhani mnaona huko kwenye mitandao watu wanabishana, kuna mambo yanalazimishwa yawe, hayaendi na utamaduni wa Kitanzania. Au saa nyingine viongozi wa vyama vya siasa watataka mambo ambayo kwa uchumi wa Tanzania hatuwezi.” Rais Samia Suluhu

3. "Tuzungumze tufikie maridhiano, ya kuzizika tofauti zetu. Hili ndio lengo langu. Sisi ni Taifa moja, wala hakuna mwenye cheti akasema mimi nina cheti cha kuimiliki Tanzania, hakuna. Wote ni Watanzania.” Rais Samia Suluhu

4. “Nikuombeni Wenyeviti wenzangu wa vyama vya siasa, tusitazame yaliyopita. Tutazame mbele kwa matumaini. Tuweke nguvu yetu pamoja kujenga Tanzania mpya, yenye kusameheana, yenye kuheshimiana na kufungua kurasa mpya za kwenda demokrasia yetu” Rais Samia Suluhu

5. “Kama mlezi natakiwa kuwa mvumilivu, msikivu na mwenye kusamehe. Na niko tayari kufanya yote haya. Nitasikiliza, nitavumilia mnayoniambia, mnayonikosoa, na niko tayari kusamehe pia ili tuende vyema” Rais Samia Suluhu

Such quotes, are enough kuonesha kwamba Rais huyu yuko tayari sana kutumia ncha ya ulimi, anashaurika, anataka kushauriana.

On the other hand, CHADEMA wanasisitiza kwamba wao hawataki "MARIDHIANO". Hebu waulizwe wanataka nini? Kama hawataki 'Ncha ya Ulimi' itumike ina maaana wanataka 'Ncha ya Upanga'. Wanataka nchi isiwe na amani, wanataka machafuko. WATAWEZA? Kwa nini wanaamini katika kufarakana?

MWISHO: Kesi ya Mbowe is just one issue, maridhiano yana sura pana sana. These people wanaojitapa kwamba hawataki maridhiano na mambo kumalizwa kwa kujadiliana, NI WATU WABAYA. TUWAKATAE
Mleta mada u mpuuzi na upuuzwe. Ni Ccm isiyotaka maridhiano na ni wanafiki. Katiba mpya isingekwama kama si Ccm. Nyani hajawahi kuona la kwake.

Hizo quotes ulizoziainisha hapo hazina nafasi kwa wahafidhina wa Ccm , ambao ni wanufaika wa mitafaruku hii
 
Toka lini hili kundi likawa busara?
download.jpg
 
Sasa kama watu hawataki "ncha ya ulimi" na wanaleta vurugu unataka Serikali ifanye nini? Iwachekee wakati wanawachanganya wananchi na kuwajaza uongo?
Mkuu.. ningependa uainishe hapa hizo vurugu wanazofanya, Pili.. ni kipi wanachowachanganya wananchi na kuwajaza uongo!! Plz assist
 
Soo jana, Rais Samia Suluhu alisema kwamba zamani muafaka katika siasa ulikuwa unafikiwa kwa kutumia ncha ya upanga lakni hivi sasa muafaka unatumiwa kwa ncha ya ULIMI.

Alichokuwa anamaanisha ni kwamba zamani watu walitumia vitisho, mapigano na vita kupata walichokitaka, lakini hivi sasa watu wanapaswa kutumia mazungumzo na maridhano.

Alitolea mfano wa Zanzibar ya mwaka 2001, watu walipigana wakauwana lakini hawakupata walichokitaka. Walitumia mazungumzo wakapata muafaka.

Hilo hakuwa anazungumzia jambo la kesi ya Mbowe pekee, aliongele umoja as in the whole nation. 'Ncha ya Ulimi wa Samia' ilithibitika kupitia baadhi ya maneno yake ambayo tunaweza kuyaquote hapa chini:

1. “Tunapokwenda kuzungumza na hatukukubaliana, baasi tupingane kwa hoja. Tupingane kwa hoja za kizalendo zenye kuongozwa na uhalisia wetu kiutamaduni, uhalisia wetu kijamii, na uhalisia wetu kiuchumi.” Rais Samia Suluhu.

2. “Nadhani mnaona huko kwenye mitandao watu wanabishana, kuna mambo yanalazimishwa yawe, hayaendi na utamaduni wa Kitanzania. Au saa nyingine viongozi wa vyama vya siasa watataka mambo ambayo kwa uchumi wa Tanzania hatuwezi.” Rais Samia Suluhu

3. "Tuzungumze tufikie maridhiano, ya kuzizika tofauti zetu. Hili ndio lengo langu. Sisi ni Taifa moja, wala hakuna mwenye cheti akasema mimi nina cheti cha kuimiliki Tanzania, hakuna. Wote ni Watanzania.” Rais Samia Suluhu

4. “Nikuombeni Wenyeviti wenzangu wa vyama vya siasa, tusitazame yaliyopita. Tutazame mbele kwa matumaini. Tuweke nguvu yetu pamoja kujenga Tanzania mpya, yenye kusameheana, yenye kuheshimiana na kufungua kurasa mpya za kwenda demokrasia yetu” Rais Samia Suluhu

5. “Kama mlezi natakiwa kuwa mvumilivu, msikivu na mwenye kusamehe. Na niko tayari kufanya yote haya. Nitasikiliza, nitavumilia mnayoniambia, mnayonikosoa, na niko tayari kusamehe pia ili tuende vyema” Rais Samia Suluhu

Such quotes, are enough kuonesha kwamba Rais huyu yuko tayari sana kutumia ncha ya ulimi, anashaurika, anataka kushauriana.

On the other hand, CHADEMA wanasisitiza kwamba wao hawataki "MARIDHIANO". Hebu waulizwe wanataka nini? Kama hawataki 'Ncha ya Ulimi' itumike ina maaana wanataka 'Ncha ya Upanga'. Wanataka nchi isiwe na amani, wanataka machafuko. WATAWEZA? Kwa nini wanaamini katika kufarakana?

MWISHO: Kesi ya Mbowe is just one issue, maridhiano yana sura pana sana. These people wanaojitapa kwamba hawataki maridhiano na mambo kumalizw
Umeanza vizuri ila hapa mwisho umevurunda Kwa kuingiza unaa, kesi yenyewe ni ya kubumba una kubali unakataa, sawa ameshanyanyaswa , kuonewa yeye na viongozi na wanachana, wamejaa magerezani , tungeanzia hapo , hayo maridhiano yangekuwa na maana. Au wewe ni timu badluck&co waliojulikana au timu wasiojulikana na bambikizi🤔.
Unataka mbowe aombe msamaha?
 
Soo jana, Rais Samia Suluhu alisema kwamba zamani muafaka katika siasa ulikuwa unafikiwa kwa kutumia ncha ya upanga lakni hivi sasa muafaka unatumiwa kwa ncha ya ULIMI.

Alichokuwa anamaanisha ni kwamba zamani watu walitumia vitisho, mapigano na vita kupata walichokitaka, lakini hivi sasa watu wanapaswa kutumia mazungumzo na maridhano.

Alitolea mfano wa Zanzibar ya mwaka 2001, watu walipigana wakauwana lakini hawakupata walichokitaka. Walitumia mazungumzo wakapata muafaka.

Hilo hakuwa anazungumzia jambo la kesi ya Mbowe pekee, aliongele umoja as in the whole nation. 'Ncha ya Ulimi wa Samia' ilithibitika kupitia baadhi ya maneno yake ambayo tunaweza kuyaquote hapa chini:

1. “Tunapokwenda kuzungumza na hatukukubaliana, baasi tupingane kwa hoja. Tupingane kwa hoja za kizalendo zenye kuongozwa na uhalisia wetu kiutamaduni, uhalisia wetu kijamii, na uhalisia wetu kiuchumi.” Rais Samia Suluhu.

2. “Nadhani mnaona huko kwenye mitandao watu wanabishana, kuna mambo yanalazimishwa yawe, hayaendi na utamaduni wa Kitanzania. Au saa nyingine viongozi wa vyama vya siasa watataka mambo ambayo kwa uchumi wa Tanzania hatuwezi.” Rais Samia Suluhu

3. "Tuzungumze tufikie maridhiano, ya kuzizika tofauti zetu. Hili ndio lengo langu. Sisi ni Taifa moja, wala hakuna mwenye cheti akasema mimi nina cheti cha kuimiliki Tanzania, hakuna. Wote ni Watanzania.” Rais Samia Suluhu

4. “Nikuombeni Wenyeviti wenzangu wa vyama vya siasa, tusitazame yaliyopita. Tutazame mbele kwa matumaini. Tuweke nguvu yetu pamoja kujenga Tanzania mpya, yenye kusameheana, yenye kuheshimiana na kufungua kurasa mpya za kwenda demokrasia yetu” Rais Samia Suluhu

5. “Kama mlezi natakiwa kuwa mvumilivu, msikivu na mwenye kusamehe. Na niko tayari kufanya yote haya. Nitasikiliza, nitavumilia mnayoniambia, mnayonikosoa, na niko tayari kusamehe pia ili tuende vyema” Rais Samia Suluhu

Such quotes, are enough kuonesha kwamba Rais huyu yuko tayari sana kutumia ncha ya ulimi, anashaurika, anataka kushauriana.

On the other hand, CHADEMA wanasisitiza kwamba wao hawataki "MARIDHIANO". Hebu waulizwe wanataka nini? Kama hawataki 'Ncha ya Ulimi' itumike ina maaana wanataka 'Ncha ya Upanga'. Wanataka nchi isiwe na amani, wanataka machafuko. WATAWEZA? Kwa nini wanaamini katika kufarakana?

MWISHO: Kesi ya Mbowe is just one issue, maridhiano yana sura pana sana. These people wanaojitapa kwamba hawataki maridhiano na mambo kumalizwa kwa kujadiliana, NI WATU WABAYA. TUWAKATAE
Naunga mkono hoja.
P
 
Back
Top Bottom