Nchi 10 za Afrika zenye idadi kubwa ya watu wanaoishi na vvu

Kwa mtiririko tu inaonesha Nchi zenye Aman ndio zenye wingi wa virusi
 
Yaani mwendo ni ule ule
Semen retention practice
 
Post zenu zinanikata stimu nipo jf naperuzu nakisubiri kitoto cha chuo kinipe utamu mnaanza mada zenu za kutisha tisha acheni uduwanzi bwanaaa
 

Attachments

  • image_search_1738489662688.jpg
    9 KB · Views: 1
Tanzania walokole kichizi maji ya Mwamposa yanafuta sana virusi, jumlisha ya Suguye, na ya Yule Nabii feki mwenye upako
 
Tanzania iko namba 5.

Kama haupo kwenye list ya hao watu mshukuru Mungu sana maana sio wote wamependa wawe hivo😥😥
 
Nimeshangaa ukizingatia watu wengi sana wanaokwenda hizo nchi wanapita Tz
Hii taarifa kama sio ya kweli italeta madhara makubwa baadae...watembea peku wataongezeka maradufu, na hapo ndio itakuwa kilio na kusaga meno!
 
Kwa wastani(HIV positive/population)
 
Na utakatifu huu watanzania, Ukimwi tuupatie wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…