Nchi 10 Zinazoongoza Kwa Kutembelewa na Watalii Wengi Duniani."International Visitors"

Nchi 10 Zinazoongoza Kwa Kutembelewa na Watalii Wengi Duniani."International Visitors"

Uchumi wao ni mkubwa kuliko wa kwetu, technologia wako juu kuliko sisi. Kumbuka tuna mshinda nini Mzungu hapa duniani?
Lakini wanaofanya Utalii kule sio Wao Bali wageni.

Pili kama hoja ni Ukubwa wa Uchumi Tunisia inazidi kipi Tanzania,Nigeria au South Africa Hadi wawe na visitors over 10mln pee year?
 
Kwan dubai imetoka wap??
si jangwani??
maldive wananini?? au sychellles wana nn??

Tumia akili hata kidogo usibebe kichwa kama pambo
Matusi ya nini? Hao ulio sema walikuwa na will and power, sasa hapa kwetu hamna hivyo vitu kwa sasa. Matusi sio poa.
 
Lakini wanaofanya Utalii kule sio Wao Bali wageni.

Pili kama hoja ni Ukubwa wa Uchumi Tunisia inazidi kipi Tanzania,Nigeria au South Africa Hadi wawe na visitors over 10mln pee year?
Tunisia imetoka wapi tena? Na hizi nchi nyingine umezitaja za nini? Mm naonglea list iliyo chapishwa mwanzo mwa uzi.
 
1.France -89.4 mln
2.Spain-83.7Mln
3.USA-79.3mln.
4.China -65.7mln.
5.Italy -64.5Mln
6.Turkiye-51.2 mln
7.Mexico -45mln
8.Thailand-39.8mln
9.Germany-39.6
10.United Kingdom -39.4mln.

My Take
Tanzania tunapoteza mda kukomaa kwenye Utalii wa wanyama na nature wakati Dunia imehama huko,kama tunaendelea na utopian thinking hatutakuja kuzikaribia hizo Nchi Bora tuwekeze kwenye Kilimo tuu,just imagine tuna struggle kupata watalii 2mln.kwa mwaka.

Nchi za North Africa zinafanya vizuri Kwa sababu ziko jirani na hao ma giants na wenzetu hawana hata Wanyama.Seems Kuna products za Utalii ambazo zinatakiwa sokoni kuliko wanyama pori.

Kwa data za 2023,Nchi za Africa Zinazoongoza Kwa Watalii ni hizi hapa 👇👇

View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1775548980346204221?t=fjl0WfwsDHlMyoLfnshEfg&s=19

Sijawahi kuielewa royal tour. Au kulikuwa na hidden agenda ili aonekane kimataifa kwamba ndiyo rais.
 
Matusi ya nini? Hao ulio sema walikuwa na will and power, sasa hapa kwetu hamna hivyo vitu kwa sasa. Matusi sio poa.
Nilitaka uzinduke usingizini
Utalii si ishu ya kuwa tajiri ni kuweka vipaumbele kwene vivutio na luxury ambazo dunia ya sasa inazitaka.

Ukiangalia kanchi kama monaco ni kadogo kama kisiwa cha mafia ila kalivo jibland na kua na watalii na mabilionea utakimbia
 
Tunisia imetoka wapi tena? Na hizi nchi nyingine umezitaja za nini? Mm naonglea list iliyo chapishwa mwanzo mwa uzi.
Wewe umesema Nchi za North Africa zimeendelea kiuchumi ndio maana zinapokea watalii wengi.

Ndio nimekutajia hizo Nchi zimeendelea kuliko Tunisia lakini mbona watalii ni kiduchu?
 
Waafrica bado tuna mindset za kusema wazungu wanapenda mapori na wanyama

Ilihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari

Hizo nchi zote utalii wake hautokani na wanyama wala mapori ni bata na sehemu za kuvutia
ni propositions za wazungu mkuu, na tatizo letu tunafuata tu!
 
Kwa nini ishindikane? Nchi za North Africa Zina kipi Cha ziada kutushinda ?
Acha utani basi babaaa. Kwamba hawana Cha kutuzidi Misri, algeriA, Tunisia,nk.
Hebu nenda cheki kuhusu uchumi wao,wingi wa vivutio, na hata teknolojia na nguvu za kijeshi then njoo Tena boss
 
Waafrica bado tuna mindset za kusema wazungu wanapenda mapori na wanyama

Ilihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari

Hizo nchi zote utalii wake hautokani na wanyama wala mapori ni bata na sehemu za kuvutia

waafrika ni watu wenye mawazo mgando kabisa, bado tunahisi kama twiga ni diili kiasi hicho.
 
Kwamba Tanzania tumejikita kwenye Wanyama Pekee ?!!! Unashauri nini Tuuze Serengeti tujenge Beach pale wakati tuna Indian Ocean tayari na kuna wadau kibao wanakuja for visiting beaches..., Tatizo la kuona fulani kafanya na wewe ufanye badala ya kutumia ulichonacho ndio maana tupo hapa tulipo (huenda hao wana mawazo kama yako) ndio maana tuliona na Kagame kafanya Royal Tour na sisi Tukafanya...

 
Ilihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari
Bado hatujafikia hatua ya kuwa na utalii wa aina hii hivyo ni haki wakitupita hawa mabeberu......ndio maana wanaoongoza hiyo orodha ni njia za ulaya magharibi na Marekani
 
Back
Top Bottom