ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Lakini wanaofanya Utalii kule sio Wao Bali wageni.Uchumi wao ni mkubwa kuliko wa kwetu, technologia wako juu kuliko sisi. Kumbuka tuna mshinda nini Mzungu hapa duniani?
Kwan dubai imetoka wap??Sasa kwa akiri yako, tunaweza kuwa na miji na starehe kushindana na hao jamaa?
Matusi ya nini? Hao ulio sema walikuwa na will and power, sasa hapa kwetu hamna hivyo vitu kwa sasa. Matusi sio poa.Kwan dubai imetoka wap??
si jangwani??
maldive wananini?? au sychellles wana nn??
Tumia akili hata kidogo usibebe kichwa kama pambo
Tunisia imetoka wapi tena? Na hizi nchi nyingine umezitaja za nini? Mm naonglea list iliyo chapishwa mwanzo mwa uzi.Lakini wanaofanya Utalii kule sio Wao Bali wageni.
Pili kama hoja ni Ukubwa wa Uchumi Tunisia inazidi kipi Tanzania,Nigeria au South Africa Hadi wawe na visitors over 10mln pee year?
Sijawahi kuielewa royal tour. Au kulikuwa na hidden agenda ili aonekane kimataifa kwamba ndiyo rais.1.France -89.4 mln
2.Spain-83.7Mln
3.USA-79.3mln.
4.China -65.7mln.
5.Italy -64.5Mln
6.Turkiye-51.2 mln
7.Mexico -45mln
8.Thailand-39.8mln
9.Germany-39.6
10.United Kingdom -39.4mln.
My Take
Tanzania tunapoteza mda kukomaa kwenye Utalii wa wanyama na nature wakati Dunia imehama huko,kama tunaendelea na utopian thinking hatutakuja kuzikaribia hizo Nchi Bora tuwekeze kwenye Kilimo tuu,just imagine tuna struggle kupata watalii 2mln.kwa mwaka.
Nchi za North Africa zinafanya vizuri Kwa sababu ziko jirani na hao ma giants na wenzetu hawana hata Wanyama.Seems Kuna products za Utalii ambazo zinatakiwa sokoni kuliko wanyama pori.
Top 10 most visited countries for your 2025 travel itinerary
As per the World Economic Outlook Report, global tourism expanded by 2.9% in 2024, signaling a resurgence in international travel. Here's a look at the top 10 favourites for millions of travellers, which you can also consider visiting in 2025.timesofindia.indiatimes.com
Kwa data za 2023,Nchi za Africa Zinazoongoza Kwa Watalii ni hizi hapa 👇👇
View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1775548980346204221?t=fjl0WfwsDHlMyoLfnshEfg&s=19
Nilitaka uzinduke usingiziniMatusi ya nini? Hao ulio sema walikuwa na will and power, sasa hapa kwetu hamna hivyo vitu kwa sasa. Matusi sio poa.
Wewe umesema Nchi za North Africa zimeendelea kiuchumi ndio maana zinapokea watalii wengi.Tunisia imetoka wapi tena? Na hizi nchi nyingine umezitaja za nini? Mm naonglea list iliyo chapishwa mwanzo mwa uzi.
ni propositions za wazungu mkuu, na tatizo letu tunafuata tu!Waafrica bado tuna mindset za kusema wazungu wanapenda mapori na wanyama
Ilihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari
Hizo nchi zote utalii wake hautokani na wanyama wala mapori ni bata na sehemu za kuvutia
Hiyo n akili mgango sasa ingawa wapo wanaopenda vitu hivo lakini huwezi linganisha na wanaopenda miji mikubwa ,starehe nkni propositions za wazungu mkuu, na tatizo letu tunafuata tu!
akili mgando yangu au?Hiyo n akili mgango sasa ingawa wapo wanaopenda vitu hivo lakini huwezi linganisha na wanaopenda miji mikubwa ,starehe nk
Walioko kwene position ya maamuziakili mgando yangu au?
Walioko kwene position ya maamuzi
Acha utani basi babaaa. Kwamba hawana Cha kutuzidi Misri, algeriA, Tunisia,nk.Kwa nini ishindikane? Nchi za North Africa Zina kipi Cha ziada kutushinda ?
Sasa kwa akiri yako, tunaweza kuwa na miji na starehe kushindana na hao jamaa?
Waafrica bado tuna mindset za kusema wazungu wanapenda mapori na wanyama
Ilihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari
Hizo nchi zote utalii wake hautokani na wanyama wala mapori ni bata na sehemu za kuvutia
Bado hatujafikia hatua ya kuwa na utalii wa aina hii hivyo ni haki wakitupita hawa mabeberu......ndio maana wanaoongoza hiyo orodha ni njia za ulaya magharibi na MarekaniIlihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari