Nchi 30 duniani zenye watu wenye IQ ndogo

Kwa mpumbavu Kama wewe hujui hata maana ya IQ and the basis of it

Hujui hata inajengwa na framework gani

Anyways

Kiazi ni kiazi tu unaangalia thr list na hujagundua ni Africa predominantly
 
Kwenye hizo nchi almost zote zimekua na majanga mbalimbali kama vita, njaa na mabalaa mengine, I think kama wangekua na amani kama Tanzania, huenda sisi tungekua namba 1. Waangalie mashabiki wa ccm hadi viongozi wao, wanakipenda zaidi chama chao kuliko Tanzania, tazama waandishi wa habari type ya kina mzee Jamuhuri, shule ipo vizuri lakini tazama mitazamo yao kuhusu siasa na nchi, njoo kwa watangazaji, viongozi wa mpira and everything; waliofanya hu utafiti wapo sahihi sana but kama nchi hizo zilizo shika nafasi za juu zingekua na amani, wallah sisi tungekua tunatingisha dunia kwa uelewa mdogo wa mambo.
 
weka na vyama vya siasa mimi nataja ccm
 
Mkuu kwanini wao wanaendelea kuabudu hadi Leo watu kama kina Putin ni wadau wazuri wa dini unadhani hawalijui hili
Hahaha so Putin ndo role model wako? Maisha ya kwnye screen unayaamini? Angekua anaabudu km waafrika tunavyokopi angekua muuaji namna hiyo? Udikteta hauendi kabla ya kwanza kuwapumbuza wafuasi wako kwa imani za kipuuzi wakufuate kama kondoo au siasa za kulazimisha either 1
 
Ukiwa Tanzania wabongo wanawasifia waganda na wakenya na ukiwa kenya wakenya wanawasifu wabongo na ukiwa Uganda waganda wanawasifu wabbongo

Ukifika Zanzibar wazanzibar wanawasifu wabongo inashangaza

Inaonekana waafrica hawajikubaali
 
Somalia ilipaswa iwepo hapo, wale watu wa kule kichwani bure kabisa...
 
Hawa hata chura wa jangwani wamezidiana tu idara wengine ni timu ya mpira na wengine ni chama ccm
Ila mkuu chagua kiongozi kwa kutoangalia Chama angalia unaye mchagua anafaa ingawa CCM are doing the worst thing ila Kuna viongozi wazuri
 
Ukiwa Tanzania wabongo wanawasifia waganda na wakenya na ukiwa kenya wakenya wanawasifu wabongo na ukiwa Uganda waganda wanawasifu wabbongo

Ukifika Zanzibar wazanzibar wanawasifu wabongo inashangaza

Mwenye chongo ni mfalme kwenye nchi ya wasio ona "vipofu"...
 
Kah,
watu wamechafukwa yaani kila mtu anashukuru kuiona tz, wengine wanaona bado hata ilitakiwa ishike mkia kabisa 🤣🤣🤣

Kuweni wazalendo mazee hawa mabeberu wanaandaa hizi ripoti kimkakati na hizi figisu ni za kuifanya Tanzania isiwe dona kantri.🤣🤣🤣
 
Ukiwa Tanzania wabongo wanawasifia waganda na wakenya na ukiwa kenya wakenya wanawasifu wabongo na ukiwa Uganda waganda wanawasifu wabbongo

Ukifika Zanzibar wazanzibar wanawasifu wabongo inashangaza

Inaonekana waafrica hawajikubaali
Kwann
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…