February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Unaweza kuelezea kidogo mkuuNingekushauri Tanzania ila bora Canada
Ndo nchi gan iyoBuza republic
Aah sitafuti madem natafuta chapaaSaudia hawana mambo ya kuchunguliana chunguliana Sana, unaweza piga mademu tofauti tofauti hata Mia bila shida yyt
KwannMm napakubal san Narrow way
Mbona GOAT mwenyewe kaenda USA?... siku za hivi karibuni akina CR et. al. wameonekana wakipendelea zaidi kuzamia Saudi Arabia; jaribu huko Mkuu.
... of course haiwezekani wote wakaenda sehemu moja. Ushauri wangu kwamba ajaribu Saudia kwanza ni karibu na Tz - just a single flight, pili, watanzania kuanzia house girls wako kule wanapiga kazi, tatu, ni nchi ya dini sana so is a peaceful country, etc.Mbona GOAT mwenyewe kaenda USA?
Pana utulivu mzuri san na hakuna ubaguz uliokithiriKwann
Vip michongo ya pesa?Pana utulivu mzuri san na hakuna ubaguz uliokithiri