dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Pesa ziko kongo wee tu ujingee na m23
Msharahara dola 7000 kwa mwezi ukipanaban miezi sita ujawa tajiri
Msharahara dola 7000 kwa mwezi ukipanaban miezi sita ujawa tajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi gani hiyoPesa ziko kongo wee tu ujingee na m23
Msharahara dola 7000 kwa mwezi ukipanaban miezi sita ujawa tajiri
Wakenya njaa kwao hakuna fursaMi nahisi Qatar pia Kuna fursa, kama Kuna mtu amewahi kupita pale Hamad international Airport atakubaliana na mimi, jirani zetu wakenya ndio wametawala ule uwanja yani wameajiriwa kwa wingi sanaa ila sijawahi kuona mtanzania
Sasa kama wakenya wapo means hata sisi tuna uwezo wa kuwepo. Karibu kufatilia kwa undani unaweza kupata mwanga
Kupigana na jeshi la serekali la fdr la kongoKazi gani hiyo
Acha uongo basi 😄 🤣 😂Saudia hawana mambo ya kuchunguliana chunguliana Sana, unaweza piga mademu tofauti tofauti hata Mia bila shida yyt