Nchi gani tofauti na Tanzania baadhi ya raia wake wanafurahia polisi kutoa kipigo kwa raia wengine karne hii?

Watanzania wamelogwa na mwenge
 
Tanzania kuna Makundi kadhaa ya watu

  • Kundi la wajinga ambao wanakubali kudanganywa kwamba nchi ina amani kwahivyo maandamano huhatarisha amani. hapa kuna wananchi wengi sana masikini wa mali, fikra na elimu.
  • Kundi la werevu ambalo linajali maslahi ya wananchi wote na njia sahihi ya kusikilizwa ni maandamano ya amani. mara nyingi kundi hili halina nguvu kwa kukosa sapoti ya wadau muhimu ambao ni viongozi, Kundi hili hujumlisha wapenda haki na maendeleo wote
  • Kundi la werevu ambalo linajua kabisa maandamano ya amani ni halali na yana nia njema kabisa lakini hawataki yatokee ili yasiharibu maslahi yao, kundi hili huwa la viongozi wa chama Tawala na Viongozi wakuu wa Serikali.
  • Kundi la Mwisho ni la werevu ambao wanajua kabisa maandamano ni halali na ni ya nia njema, kundi hili hutumia maandamano kujikuza kisiasa, siamini sana kama wanajali sana kuhusu wananchi compared to their political capital.
 
Wewe mK&ndu hujui maana ya amani kabisa! Ndugu zako wanatekwa, Kuteswa na kuuliwa uko unakenua mifupa ya midomoni mithili ya ngiri pori!! SHAMEE utakuwa M#$#nge wewe
 
Wewe mK&ndu hujui maana ya amani kabisa! Ndugu zako wanatekwa, Kuteswa na kuuliwa uko unakenua mifupa ya midomoni mithili ya ngiri pori!! SHAMEE utakuwa M#$#nge wewe
Wewe senge matusi ndio hoja yako.Katekwa mama yako na nani?
 
Tukana ufundishwe kutukana.Wewe ni mpumbavu tu anayeendeshwa na ukabila.Katekwa mama yako?Sabasi.
Mbwa kkoko your days are numbered you bastard! Huyaoni mauaji au wewe ndiye wale mbwa mnaoteka na kuua!?? Lazima nikutukane wewe na kizazi chako mliolaaniwa toka tumboni mwa mamaenu! Oh hukuzaliwa kawaida wewe umetokea MK&#nd@ni ndezi mkuu
 
 
Wewe mkundu tu.Jifanye kuropoka kwenye keyboard. Umeandamana wewe sharwala.Ungeandamana tukutoe bandama unye kwa mrija ungekuwa na adabu.
Msalimie mama yako. .
 
Tunatakiwa tuandamane kupinga kodi kandamizi, ukosefu wa ajira,gharama za maisha kuwa juu ila sio kuandamana kisha mwanachama wa chama flani amekatwa namwengine kufa tena tunaandamana tukiwa na bendera ya chama na sare asa ayo ni maandamano ya chama au ya nchi!!! Na ndo maana baadhi ya watu wanafurahia polisi wakitoa kochapo
 
Wewe mkundu tu.Jifanye kuropoka kwenye keyboard. Umeandamana wewe sharwala.Ungeandamana tukutoe bandama unye kwa mrija ungekuwa na adabu.
Msalimie mama yako. .
You are just a shithole born from a shithole!!
 
Ni matokeo ya kauli chafu au za kubeza mnazotoa kwa makundi ya watu au jamii wanaodhihakiwa.

Walimu - mnaowaita mazuzu eti wanaisadia CCM kuiba Kula.

Wasuk*ma/kanda ya Ziwa - Mliowatukana na kuwakashifu kipindi cha JPm

Pwani/Waislam - Wavaa kobazi
Polisi - Mnaowakejeli kila siku

Baadhi ya Madhehebu- hasa wasikubaliana na itikadi zenu wanaambulia matusi na kejeli.

Kizazi cha 2000 - mnakiita mambumbu,hawana akili,kutwa kuonyesha makalio huku mkisifia vijana wa Kenya.

Kanda ya Kati - Mnawakebehi pia
 
Ni proven fact, majority ya watanzania wana uwezo mdogo wa kuchanganua mambo, hawajui ya muhimu yapi, ya kijinga yapi ilimradi wameshiba mihogo n energy drinks, wamebishana kuhusu simba na yanga, wamebeti, Jux katoka na nani, wapi kuna mafuta ya upako na wapi kuna mganga...

Hata kuwapigania ni kupoteza tu mda wako
 
kwamba umeshakaa kwenye inchi zote duniani unawajua raia zake au umeshafanya utafiti inchi ngp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…